mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 14,192
- 19,117
Huwezi kuziona! Utaona TBC tu!!!; hawafai!!Usipolipia hiyo Buku 19, Utaziona hizo Local channel?
Huwezi kuziona! Utaona TBC tu!!!; hawafai!!Usipolipia hiyo Buku 19, Utaziona hizo Local channel?
Kwa sasa hata channel ten huwezi kuiona kama kifurushi cha 19000 kikiisha!! Wanakubakizia TBC tu! Hawafai!!!Chaneli ten na TBC
na ligi ya spain tunaiona kwa hd wakati dstv ukilipa19000 hupati hdMkuu azam 25k kwa chanel za mzk unapata mtv base ambapo kwa dstv mtv iko kweny kfrsh cha dstv family 45k,azam utapata lig ya ufaransa na laliga, wakat dstv penyew utapata unlimited na limited laliga na epl respectively, kwenye movies haswa za action, drama, na genres mbalmbal azam ndo ucseme, zpo chanez zaid ya 4 kwa Hollywood, za bollywood cjui maana cfatilii, aya twende kwa watoto na catoon kwa aza utapata chanel 2 nikoledon na mbc, ambapo same chanelz kwa dstv ziko kweny dstv family
Hahahhah mkuu umenichekesha sana sasa hapo kwenye mfanyakazi umekosea mie nimtanzania tuu mtoto wa mkulima kama wewe nimejipigapiga tuu nikanunuaHawa wafanyakazi wa dstv wanakuja humu kutudanganya kwa uzoefu wao wa kucheza na mitandao ya kijamii kwa sababu maisha yao yalianzia ushuani malipo ya mwez wao wanaona ni kawaida kwa sababu hii kitu wameizoea tangu utotoni na fedha za wazee wao. Ila ukweli ni kwamba wanavifurushi vya garama ambayo haiendani na maisha ya mtanzania mimi mtoto wa mkulima huwez niambia nilipie dstv elfu 90 ili nione BET television wakati kwenye azam nnalipia elfu 23 nnaiona BET,Nat geo wild,RAW,smack down live bongo movie,local chanel zote pamoja na radio za bongo. Niliingia cha kike tu kununua hichi kishumbushi kumbe nimemnunulia mtoto achezee
Yaaani mkuu nakuunga mkono unajua wengi wanasifia azamu kwasababu ya vpl nakuhakikishia kama dstv wangekuwa wanarusha vpl wangekuwa juu sanaKing'amuzi changu cha kwanza kabisa wakati naanza maisha kilikua azam, nilikitumia zaidi ya miaka miwili lakini niliona hakinisaidii chochote maana VPL huwa siangalii, wamejaza chanel nyingi za dini fulani, movie zao ni outdated sana, nikaamua nihamie star times (Lool) [emoji23] [emoji23] hakikumaliza hata miezi sita nikahangaika kutafuta mteja nikawa sipati nikampatia mdogo wangu nae ndio alikua anaanza maisha ile kigeto geto.
Nikahamia dstv, sijutii maamuzi yangu, cartoon, wanyama, documentaries, movie, music mpira (la liga, epl, serie A, Absa premier league zote nazipata live), WWE na sky sports news zote live na full HD.
Mkuu hebu nipe maujanja ukiwahi kulipia unaunganishwa ss3 mwezi mzima kama offer?Max1 ni same as ss3 pamoja na hayo nikilipia napewa ss3 for 2weeks nikilipia 2 months without disconnected napewa compact ya mwezi mmoja ikiwa na ss3 kwa bei hiyo 19k
Hahahah mkuu eti wanaviofa hako kalilugha kamenifurahisha sana169 mkuu mind u mm ni mtumiaje wa iyo kitu na nivyema ukachukua ushaur wa user, not dealers,,,, sema awa watu uwa wanaviofa vya kuwavuta watu muone kwamba vyuma vmeachia, na nkwa mda mfp
Nifundishe namna yakuunga mkuuNo hizo ni pvr services na huduma zinajitegemea ukipia 25k unapata hizo features hafu kitu kingine kizuri kwa dstv siku hizi kuna huduma ya dstv now unaiunga acc yako na os/android devices unakula live channels kwa device hata uwe safarini decoda nyumbani wana enjoy na ww unaenjoy na marafiki wengine 3 hadi 4 devices so dstv ni usipime