DStv iko poa sana nunueni msiogope

DStv iko poa sana nunueni msiogope

5f0a73d726c41f8c73eaeb372c6afddc.jpg


Nimewaacha vijana muda si mrefu nyumban wakiangalia ss3 kwa tsh 19000/=
Mkuu naomba nielekeze hiki kwa 19k uanawezaje kupata ss3 mkuu
 
Mwongo!!! Nina dstv kwa miaka 4 sasa!! Sasa hivi kama kifurushi kikiisha local channel unayoona ni TBC tu!!! Hawa jamaa ni shida!!!! Kwa local channels hawafai,!!!
Mkuu naona hujanielewa tu Mimi nilimaanisha local channel zinazopatikana dstv na sio zinazobaki baada ya king'amuzi kuisha sijui kama umenipata
 
nunua kisimbusi kulingana na mahitaji & uwezo wako usiige mtu!
 
Hakuna kama azamu ha ha ha kwa upande ha ha ha hakuna azam...:... kwa be I ha ha ha hakuna yaweee tatizo bei ya vifurushi. Mipira ya Tanzania no.
 
Nilichokigundua kutoka kwako
Mosi bado una ham nacho
Ukizoea......... Hutabishana saaana
 
Hakuna kama azamu ha ha ha kwa upande ha ha ha hakuna azam...:... kwa be I ha ha ha hakuna yaweee tatizo bei ya vifurushi. Mipira ya Tanzania no.
Watu wanapenda kwa sababu ya Moira tuu hakuna kingine yani
 
Back
Top Bottom