loliondokwetu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,376
- 1,767
Nataka nione ligi za bongo, bunge, nkKwanini mkuu nikibaya??
Nataka nione ligi za bongo, bunge, nkKwanini mkuu nikibaya??
Mkuu unalnganisha kfurush cha mwsho na cha kwanza, azam 25k ni kifurush kikubwa na chakati. Dstv 19kni kifurush cha chini kabsaHuyo ni star times na inategemeana na ubora wa kitu huwezi amini mkuu azam ana king'amuzi 25,000 kwa mwezi kazidi hadi DStv 19,000 kwa mwezi
FactWala sio choyo jombaa angefunga labda Dstv Explorer alafu akaanzisha uzi kuelezea uzuri wa Explorer kidogo afadhali
Mkuu azam 25k kwa chanel za mzk unapata mtv base ambapo kwa dstv mtv iko kweny kfrsh cha dstv family 45k,azam utapata lig ya ufaransa na laliga, wakat dstv penyew utapata unlimited na limited laliga na epl respectively, kwenye movies haswa za action, drama, na genres mbalmbal azam ndo ucseme, zpo chanez zaid ya 4 kwa Hollywood, za bollywood cjui maana cfatilii, aya twende kwa watoto na catoon kwa aza utapata chanel 2 nikoledon na mbc, ambapo same chanelz kwa dstv ziko kweny dstv familySasa cha azamu kikubwa cha 25k hakimpati kidogo cha dstv cha 19k hapo umegundua nini
Mkuu unapewa commission ngapi kwa hili tangazo?Hello ndugu zangu habarini za jumamosi, Jana nimefanikiwa kuvuta dstv kiukweli channel ni nyingi ktk kifurushi cha bomba na offer yao ya miezi miwili inaitwa THE PUNGUZO buree, kwa 79,000/= na ufundi 20,000/= tu ukiwapa 100,000/= sio mbaya now nainjoi sana ni full HD kwa t-shs 19,000/= kwa mwezi.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Zipo nyingi mkuutatizo lao local channels wanaweka moja tu..TBC
Azam Tv kila kitu kipo fresh..,ukiwa na HDMI,Mabao ya Chirwa unayaona vizuriii......Sawa mkuu vipi kuhusu ubora wa vipindi na picha zake
Mimi bado nipo zuku
Star times hovyo pia.Local Chanel pekee wanayorusha bila malipo in TBC 1 pekee.Gharama ni 12000 kwa mwezi,hiyo 6000 ni siku 12 tu.Kwa hiyo naona kweli ni bora hiyo DSTvKing'amuzi cha Startimes nilinunua 36,000 (sijui sasa hivi ni bei gani) na ninalipia 6,000 kupata Local Channels kwa lengo la kupata habari.
Sasa jaribu kulinganisha na hicho king'amuzi unachokinadi uone tofauti.
Mwenye kisu kikali ndio mla nyama.
Endelea kuenjoy mkuu..
Hausigelo ndo anafaidi sanaDSTV ni baba lao,kwa kifurushi cha tsh 19,000/= tu kwa mwezi nakula WWE raw,smackdown,impact na ligi mbalimbali za duniani live!