mimi mkali
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 1,794
- 1,572
Haaa haaaa haaa!Wapenda bure...angalieni radio
Haaa haaaa haaa!Wapenda bure...angalieni radio
Mkuu kuna kifurushi kinaitwa nyota ndio kinalipiwa 6000 kwa mwezi mzima sio siku 12, ukilipia 6000 bila kubadilisha kutoka Mambo au Uhuru ndio kinakaa siku 12. Wapigie simu au fika ofisini kwao na smart card yako uwaambie wakubadilishe kifurushi waweke NYOTA ndio utakipata kwa mwezi mzima.Star times hovyo pia.Local Chanel pekee wanayorusha bila malipo in TBC 1 pekee.Gharama ni 12000 kwa mwezi,hiyo 6000 ni siku 12 tu.Kwa hiyo naona kweli ni bora hiyo DSTv
Unapata mechi moja kila wiki.UEFA kwa elfu 19,000/= mkuu??![emoji32][emoji32][emoji32]
Dstv ni baba lao.Wakuu hicho kimzigo cha 19,000 unapata channel ngapi? Ukiacha hizo za Supersports ni zipi nyingine? Kama vipi niuze Azam!
Umeona eeHawa wafanyakazi wa dstv wanakuja humu kutudanganya kwa uzoefu wao wa kucheza na mitandao ya kijamii kwa sababu maisha yao yalianzia ushuani malipo ya mwez wao wanaona ni kawaida kwa sababu hii kitu wameizoea tangu utotoni na fedha za wazee wao. Ila ukweli ni kwamba wanavifurushi vya garama ambayo haiendani na maisha ya mtanzania mimi mtoto wa mkulima huwez niambia nilipie dstv elfu 90 ili nione BET television wakati kwenye azam nnalipia elfu 23 nnaiona BET,Nat geo wild,RAW,smack down live bongo movie,local chanel zote pamoja na radio za bongo. Niliingia cha kike tu kununua hichi kishumbushi kumbe nimemnunulia mtoto achezee
Umeona eeHawa wafanyakazi wa dstv wanakuja humu kutudanganya kwa uzoefu wao wa kucheza na mitandao ya kijamii kwa sababu maisha yao yalianzia ushuani malipo ya mwez wao wanaona ni kawaida kwa sababu hii kitu wameizoea tangu utotoni na fedha za wazee wao. Ila ukweli ni kwamba wanavifurushi vya garama ambayo haiendani na maisha ya mtanzania mimi mtoto wa mkulima huwez niambia nilipie dstv elfu 90 ili nione BET television wakati kwenye azam nnalipia elfu 23 nnaiona BET,Nat geo wild,RAW,smack down live bongo movie,local chanel zote pamoja na radio za bongo. Niliingia cha kike tu kununua hichi kishumbushi kumbe nimemnunulia mtoto achezee
Uclnganishe azam na dstv, kama ww ni jogori ucende dstv, ni ukwel dstv wanavitu vng tatizo bei, azam wanajarb kurahsisha maiaha cc my last commentMkuu samahani kipi unachokipata DSTV na ukakikosa Azam Tv?
Ambayo ni mechi ya j5 tuUnapata mechi moja kila wiki.
Ndiyo mkuu ndani ya ss10.Ambayo ni mechi ya j5 tu
Ss naww toa ushaur ip bora dstv ama azam?Ndiyo mkuu ndani ya ss10.
Dstv ni bora zaidi.Ss naww toa ushaur ip bora dstv ama azam?
Kweli kabisa mimi nina Explora2 lkn ni usipime tangia nov 2017 mpaka leo nalipia 19k lkn napata sports zote hadi max1 na max2Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni,it is damn true kuwa DSTV wapo vizuri!....Kwa kifurushi cha tsh 19,000/= kwa mwezi unapata supersport zote 14 isipokuwa supersport 1,2,3 na 5!
Km kawaUEFA VP?
Kwa vgezo vipiDstv ni bora zaidi.
Ss3 ndiyo chaneli kubwa in ayo broadcast mpira kwa dstv chanels, ss kama hiyo hauna, bado ww huna dstv baba lipa zaidiKweli kabisa mimi nina Explora2 lkn ni usipime tangia nov 2017 mpaka leo nalipia 19k lkn napata sports zote hadi max1 na max2
Mkuu primium Ni 169k hicho cha 19k unapata super sport ,zote?Kweli kabisa mimi nina Explora2 lkn ni usipime tangia nov 2017 mpaka leo nalipia 19k lkn napata sports zote hadi max1 na max2
Max1 ni same as ss3 pamoja na hayo nikilipia napewa ss3 for 2weeks nikilipia 2 months without disconnected napewa compact ya mwezi mmoja ikiwa na ss3 kwa bei hiyo 19kSs3 ndiyo chaneli kubwa in ayo broadcast mpira kwa dstv chanels, ss kama hiyo hauna, bado ww huna dstv baba lipa zaidi
Mechi zote muhm unapata kwa kifurushi gani.....? Cha 169k au 19k?King'amuzi changu cha kwanza kabisa wakati naanza maisha kilikua azam, nilikitumia zaidi ya miaka miwili lakini niliona hakinisaidii chochote maana VPL huwa siangalii, wamejaza chanel nyingi za dini fulani, movie zao ni outdated sana, nikaamua nihamie star times (Lool) [emoji23] [emoji23] hakikumaliza hata miezi sita nikahangaika kutafuta mteja nikawa sipati nikampatia mdogo wangu nae ndio alikua anaanza maisha ile kigeto geto.
Nikahamia dstv, sijutii maamuzi yangu, cartoon, wanyama, documentaries, movie, music mpira (la liga, epl, serie A, Absa premier league zote nazipata live), WWE na sky sports news zote live na full HD.