DStv iko poa sana nunueni msiogope

DStv iko poa sana nunueni msiogope

NIMEFUNGA DSTV MWEZI ULIOPITA KINGAMUZI NI KIPYAAAAAA, NAHITAJI MTU WA KUBADILISHANA NAE ANIPE CHA AZAM. ANYONE CHEKI 0752-399070
 
Asante...Lazima ninunue.
Mimi ni mpenzi sana wa mieleka ila nilikuwa nahangaika kwa miaka mingi nikiwa naamini kuwa mieleka DSTV itakuwa inapatikana kwenye kifurushi cha premium kumbe nilikuwa very wrong!....i never knew kuwa inapatikana kwenye kifurushi cha chini kupita vyote!!
 
Huoni kuwa unaibiwa?na mwizi wako anashirikiana na waziri wa habari?au hujasikia serikali kupitia waziri wake ilisema LOCAL CHANNEL ni bure,wewe unalipa 6000unajisifia!!!!,haya mambo ni TZ ONLY.
Unajua maana ya kujisifia?
Kama mwizi wangu anashirikiana na waziri wa habari kama ulivyosema unadhani ninapaswa kushitaki wapi?
Zimeshaandikwa thread nyingi sana humu Jf kuhusu agizo la FREE LOCAL CHANNELS unadhani wenye dhamana hawaoni au hawajui kuwa bado zinalipiwa?

Nipe alternative zaidi ya kulipia ukizingatia siwezi kukaa bila kupata habari.
 
Walichonifurahisha hawa jamaa sasa hivi kwenye kifurishi cha Bomba unapata MTV, BET, Mnet Action, Mnet All star nyingine nyingiii za burudani.
Mkuu mbona Mimi sizipati unazipata kupitia channel ngapi?
 
Hauko serious, nimefunga baada ya mwezi tuu kuisha hakuna chanel ata moja ya bure,
Mkuu uliniuliza local channel ngapi na sio zinabaki ngapi baada ya king'amuzi kuisha labda kwa kukusaidia baada ya kifurudhi kuisha zinabaki mbili tu TBC na TV E
 
Mkuu uliniuliza local channel ngapi na sio zinabaki ngapi baada ya king'amuzi kuisha labda kwa kukusaidia baada ya kifurudhi kuisha zinabaki mbili tu TBC na TV E
Sasa hyo haipo tena mkuu, yanabaki matAngazo yao tuu kwenye chanel 100
 
Hicho kifurushi hakina hata chanel moja ya maana ya kutizama. Nilifunga yapata miezi miwili iliyopita, sijaona chochote cha maana. Nimerudi zangu Azam japo na yenyewe tiamatiamaji.
 
Back
Top Bottom