DStv iko poa sana nunueni msiogope

DStv iko poa sana nunueni msiogope

Hello ndugu zangu habarini za jumamosi, Jana nimefanikiwa kuvuta dstv kiukweli channel ni nyingi ktk kifurushi cha bomba na offer yao ya miezi miwili inaitwa THE PUNGUZO buree, kwa 79,000/= na ufundi 20,000/= tu ukiwapa 100,000/= sio mbaya now nainjoi sana ni full HD kwa t-shs 19,000/= kwa mwezi.
ce6e861932e68f691c8e71916b84ac10.jpg
df1589c3490577f3ce6dd226b222b771.jpg
99ecbe849b90b59529a6a3e85e49dce2.jpg
a5c6b003b351b8ecca482de55d72cccc.jpg
dd95f8d2e9db92308d6a180385d393df.jpg
18d26cd28e2e395d4c08256b08825aac.jpg
Mkuu vipi local channel nazo unalipia kama kifurushi cha 19000 kwa mwezi kikiisha? Hebu mwenye kujua anijuze haraka nisogeze hiyo dstv Nyumbani kwangu chapu
 
Max1 ni same as ss3 pamoja na hayo nikilipia napewa ss3 for 2weeks nikilipia 2 months without disconnected napewa compact ya mwezi mmoja ikiwa na ss3 kwa bei hiyo 19k
Expurola c uwa inagala za ke za kupata zile features za expurola kama catchup, pause n. Kso nazenyew unakuw umelipia ndo wanakupa ss3 offer
 
King'amuzi cha Startimes nilinunua 36,000 (sijui sasa hivi ni bei gani) na ninalipia 6,000 kupata Local Channels kwa lengo la kupata habari.
Sasa jaribu kulinganisha na hicho king'amuzi unachokinadi uone tofauti.

Mwenye kisu kikali ndio mla nyama.
Endelea kuenjoy mkuu..
Acha kuendelea kuibiwa mkuu HAUTAKIWI kulipia 6000 ndio update local channels, zile unatakiwa upate bure bila kulipia kama walivyo to a mwongozo TCRA
 
Mechi zote muhm unapata kwa kifurushi gani.....? Cha 169k au 19k?
169 mkuu mind u mm ni mtumiaje wa iyo kitu na nivyema ukachukua ushaur wa user, not dealers,,,, sema awa watu uwa wanaviofa vya kuwavuta watu muone kwamba vyuma vmeachia, na nkwa mda mfp
 
Expurola c uwa inagala za ke za kupata zile features za expurola kama catchup, pause n. Kso nazenyew unakuw umelipia ndo wanakupa ss3 offer
No hizo ni pvr services na huduma zinajitegemea ukipia 25k unapata hizo features hafu kitu kingine kizuri kwa dstv siku hizi kuna huduma ya dstv now unaiunga acc yako na os/android devices unakula live channels kwa device hata uwe safarini decoda nyumbani wana enjoy na ww unaenjoy na marafiki wengine 3 hadi 4 devices so dstv ni usipime
 
No hizo ni pvr services na huduma zinajitegemea ukipia 25k unapata hizo features hafu kitu kingine kizuri kwa dstv siku hizi kuna huduma ya dstv now unaiunga acc yako na os/android devices unakula live channels kwa device hata uwe safarini decoda nyumbani wana enjoy na ww unaenjoy na marafiki wengine 3 hadi 4 devices so dstv ni usipime
Mkuu acha izo, iyo dstv now ni available kwa wateja wenye plimiamu bana
 
Dstv ni kiboko ata mm nakubali, lakn ili uuone ukiboko wake,, pay mor bac kama unapisha me navnja cm ncona ata hii jf ss
 
No hizo ni pvr services na huduma zinajitegemea ukipia 25k unapata hizo features hafu kitu kingine kizuri kwa dstv siku hizi kuna huduma ya dstv now unaiunga acc yako na os/android devices unakula live channels kwa device hata uwe safarini decoda nyumbani wana enjoy na ww unaenjoy na marafiki wengine 3 hadi 4 devices so dstv ni usipime
Kwanza ebusema bei ya expurola ambayo unapewa izo offers uone kama watu wataendelea kuungana na wa
 
King'amuzi changu cha kwanza kabisa wakati naanza maisha kilikua azam, nilikitumia zaidi ya miaka miwili lakini niliona hakinisaidii chochote maana VPL huwa siangalii, wamejaza chanel nyingi za dini fulani, movie zao ni outdated sana, nikaamua nihamie star times (Lool) [emoji23] [emoji23] hakikumaliza hata miezi sita nikahangaika kutafuta mteja nikawa sipati nikampatia mdogo wangu nae ndio alikua anaanza maisha ile kigeto geto.

Nikahamia dstv, sijutii maamuzi yangu, cartoon, wanyama, documentaries, movie, music mpira (la liga, epl, serie A, Absa premier league zote nazipata live), WWE na sky sports news zote live na full HD.
Unaweka Kifurushi cha bei gani?
 
Back
Top Bottom