DStv iko poa sana nunueni msiogope

DStv iko poa sana nunueni msiogope

Ss3 ndiyo chaneli kubwa in ayo broadcast mpira kwa dstv chanels, ss kama hiyo hauna, bado ww huna dstv baba lipa zaidi
5f0a73d726c41f8c73eaeb372c6afddc.jpg


Nimewaacha vijana muda si mrefu nyumban wakiangalia ss3 kwa tsh 19000/=
 
Huu uzi utanifaa kujibiwa... Ndugu zangu mimi DSTV yangu kuna baadhi ya channel nikibonyeza naambiwa niweke code sasa pale niweke code gani maana vinakuja vinyumba vinne niweke namba???
 
Mkuu kwani ving'amuzi vya kawaida bei gani kwa mwezi si elfu 20? Sawa na DStv elfu 19 kwa mwezi ubaya upo wapi hapo
Dstv ni mpira tuu! Hizo Chanel nyingine zipo kwenye ving'amuzi vyetu vya kawaida,20 shillings unayosema huoni mechi yoyote maybe ya uskoch
 
Mbona unachanel ambazo co za bomba, ebu fungua iyo mnet kama ikfnumguka, niongezee ela ya mwez ujao kabsa namm nione kama itakubal iyo dstv now
Inafunguka tu mkuu nimeshindwa ku screenshot hawa dstv kwa security ni noma wame prevent
 
Km unayo acc ya bomba nipe kadi no yako na email yako nikuunge hapa faster uache ubishi
U have to do better than that, bro me nabisha kwa fact maanhuu ni mcmu wa uefa ucje ukanfanya niache kudondulza nilipe 70k af nkalipa bomba, ikanibomba
 
U have to do better than that, bro me nabisha kwa fact maanhuu ni mcmu wa uefa ucje ukanfanya niache kudondulza nilipe 70k af nkalipa bomba, ikanibomba
Hilo sawa mi nasemea kwa acc yangu yawezekana yako haina hizo offer lkn for dstv now nina hakika 100% ila sports zinakuaa ni zile za package yako
 
Ila hawaonyeshi League ya Ufaransa, Ujerumani na Italia.
Hapa unaongelea Azam au!? kama ni Azam ligi ya Italia ina onekana kweye kifurushi cha 18,000 channel ya Rai Italia. Ufaransa channel za fox sports, bila kusahau ya Turkey, Spain, Holland, Belgium na ligi za East Africa.
 
Huu uzi utanifaa kujibiwa... Ndugu zangu mimi DSTV yangu kuna baadhi ya channel nikibonyeza naambiwa niweke code sasa pale niweke code gani maana vinakuja vinyumba vinne niweke namba???
Hizo zitakuwa locked kwa ajili ya securty either ulifunga wewe au mtu pasipo kujua kwa hiyo unaweza kwenda kwenye security na ukaziunlock
 
Hizo zitakuwa locked kwa ajili ya securty either ulifunga wewe au mtu pasipo kujua kwa hiyo unaweza kwenda kwenye security na ukaziunlock
Au arestati decoder kwa factory default , na pia huenda mtoto kachezea akaenda upande wa pg na kuzi lock
 
Back
Top Bottom