DStv iko poa sana nunueni msiogope

DStv iko poa sana nunueni msiogope

Mkuu kwani ving'amuzi vya kawaida bei gani kwa mwezi si elfu 20? Sawa na DStv elfu 19 kwa mwezi ubaya upo wapi hapo
Dstv naweza tizama ligi yetu (VPL)? [emoji2] [emoji2]
 
Azam 28K kwa mwezi unapata channels kibao.
Umepata kiofa cha mwezi unaona dstv ndio the best[emoji23]
Mkuu usikidharau kiofa miezi miwili c habaaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Michecho ya ligi kuu ya chimba na yanga inaonyecha nikanunue chacha hivi?
 
Azam 28K kwa mwezi unapata channels kibao.
Umepata kiofa cha mwezi unaona dstv ndio the best[emoji23]
Na kulipia 19k kwa mwezi nishajipanga ndo kauwezo kangu mkuu[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Huyo ni star times na inategemeana na ubora wa kitu huwezi amini mkuu azam ana king'amuzi 25,000 kwa mwezi kazidi hadi DStv 19,000 kwa mwezi
Hiyo 19000 ni bei ya king'amuzi au!
Kuwa fair, Azam wana vifurushi vya 15000, 18000, 23000 na 28000, na pia wana adds on za 5000 na 3000.
 
Ukishanieleza unapata local channels ngapi kwa wiki ntakinunua.
 
Hiyo 19000 ni bei ya king'amuzi au!
Kuwa fair, Azam wana vifurushi vya 15000, 18000, 23000 na 28000, na pia wana adds on za 5000 na 3000.
Sawa mkuu vipi kuhusu ubora wa vipindi na picha zake
 
Back
Top Bottom