JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,091
- 4,716
- Thread starter
- #81
Izo ndo zinafanya mashambulizi ndani ndani ambapo ni hatari kwa binadamu kuingia na zinaleta taarifa za logistic jinsi ya kuingiaHakuna drone za kuzima moto mkubwa! Narudia tena, hakuna drone za kuzima moto mkubwa!
Sent using Jamii Forums mobile app