Drones ni muhimu sana kuzima moto

Drones ni muhimu sana kuzima moto

Watetezi wa Lugola mnakwama wapi? Hawajatimuliwa kwa kununua drones bali kwa kukiuka sheria ya manunuzi. Hii ni kwa mujibu wa Rais. Jikite kwenye hoja ya mkulu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria ya manunuzi inafanya kazi kwenye ununuzi wa drone za lugola ila kwenye ununuzi wa ndege za mecco sheria huwa inasinzia, Jesus miracle.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenye picha za drones tafadhali mimi ni kama mwanaume wa dar ni mvivu balaa nashindwa hata ku google natumia free basic naaaminu tupo wengi tusiojua kuhusu hizo drones ni makitu gani
Please mwenye picha aotupie
 
kuna taratibu za Manunuzi wizara ya fedha aina habari Bunge halina habari pia unaweza kupitisha bila Bunge kama kunadharula yeye ana mamlaka hayo pia


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tatizo siyo kununua hivyo vifaa bali matatizo yako kwenye utaratibu wa manunuzi hayo ulivyotumika. Kwanza huwezi kuingia MoU ya kununua vifaa vya 1+ Trillion bila kulihusisha Baraza la Mawaziri. Halafu vifaa vya fire siyo nyeti kiasi hicho kiasi NW kufichwa na kufanywa kuwa siri. Kwanini waziri wa fedha hakuhusishwa kwenye huo mchakazo wa mkopo? Kwanini supplier awanunulie Laptop na kuwalipa perdiem wahusika wa mchakato wa mkopo huo? Hiyo si rushwa?? Mimi kwa maoni yangu mchakato wote huo uligubikwa na rushwa!
mchakazo=x, mchakato=√ , rudi shule IQ yako ni chini ya 40.
 
Mkulu ameshangaa kuwa Drones zinahusika vipi kuzima moto. Drones ni moja ya technology rahisi kuzima moto kwani.
Zimamoto ndiyo taasisi inayohusika na uokoaji wowote wa raia inapotokea moto au tatizo lolote.

Mkulu kawatimua wataalamu wa zimamoto kwa kununua Drones kwamba ni vitu vya kipumbavu. Drones zinasaidia kupiga live picha eneo la tukio kama ghorofani kuweza kujua kama kuna watu wamekwama sehemu gani na kuweza kuwasaidia zimamoto kuwapa kipaumbele cha kuweza kuwaokoa kwanza.

Pia ikitokea ghorofa kuporomoka, drones zinaweza kutumika kupiga picha za x-ray kujua wapi kuna watu wamekwama na kuwezesha zoezi la uokoaji. Ni vema kama mkulu akiwateua wataalamu awaache wafanye kazi bila kuwaingilia na kuwakosoa kwa utaalamu wao kwani wao ndiyo wataalamu.

Huwezi kumuajiri daktari alafu umkosoe kwa kufanya kazi yake kisa wewe unaona ni ya kipumbavu wakati wewe hujasomea udakitari. Ukweli ni kwamba zimamoto ni taasisi ambayo ina uhaba mkubwa sana wa vitendea kazi japo ni moja ya taasisi ya muhimu sana kwa usalama wa raia.

Ifike wakati taasisi ya zimamoto iwezeshwe ili iwe na uwezo mkubwa wa kuokoa mali na uhai wa raia wote katika kila kona ya nchi yetu.

Trillion 1 ni pesa ndogo sana kulinganisha na ukubwa wa nchi yetu, jeshi la zimamoto linatakiwa liweze kuwafikia kwa wakati raia wote nchi nzima dakika moja wanapopatwa na tatizo la moto au uokoaji wa aina yoyote ile.

Tuwaache wataalamu tuliowapa majukumu wafanye kazi ya kulijenga Jeshi la Zimamoto bila kuwafedhehesha kisa wamefanya maamuzi mazuri bila kupata sifa za wanasiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jirani yangu anauliza hapa "eti wewe ni half-caste?" Ameongezea hapa kwamba HALF-CASTE anamaanisha wale wa magimeni lango la jiji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkulu ameshangaa kuwa Drones zinahusika vipi kuzima moto. Drones ni moja ya technology rahisi kuzima moto kwani.
Zimamoto ndiyo taasisi inayohusika na uokoaji wowote wa raia inapotokea moto au tatizo lolote.

Mkulu kawatimua wataalamu wa zimamoto kwa kununua Drones kwamba ni vitu vya kipumbavu. Drones zinasaidia kupiga live picha eneo la tukio kama ghorofani kuweza kujua kama kuna watu wamekwama sehemu gani na kuweza kuwasaidia zimamoto kuwapa kipaumbele cha kuweza kuwaokoa kwanza.

Pia ikitokea ghorofa kuporomoka, drones zinaweza kutumika kupiga picha za x-ray kujua wapi kuna watu wamekwama na kuwezesha zoezi la uokoaji. Ni vema kama mkulu akiwateua wataalamu awaache wafanye kazi bila kuwaingilia na kuwakosoa kwa utaalamu wao kwani wao ndiyo wataalamu.

Huwezi kumuajiri daktari alafu umkosoe kwa kufanya kazi yake kisa wewe unaona ni ya kipumbavu wakati wewe hujasomea udakitari. Ukweli ni kwamba zimamoto ni taasisi ambayo ina uhaba mkubwa sana wa vitendea kazi japo ni moja ya taasisi ya muhimu sana kwa usalama wa raia.

Ifike wakati taasisi ya zimamoto iwezeshwe ili iwe na uwezo mkubwa wa kuokoa mali na uhai wa raia wote katika kila kona ya nchi yetu.

Trillion 1 ni pesa ndogo sana kulinganisha na ukubwa wa nchi yetu, jeshi la zimamoto linatakiwa liweze kuwafikia kwa wakati raia wote nchi nzima dakika moja wanapopatwa na tatizo la moto au uokoaji wa aina yoyote ile.

Tuwaache wataalamu tuliowapa majukumu wafanye kazi ya kulijenga Jeshi la Zimamoto bila kuwafedhehesha kisa wamefanya maamuzi mazuri bila kupata sifa za wanasiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo mkuu anafikiri kutumbua atapata umarufu kumbe jamii inamchora na kumuona yeye ndiyo tatizo nani asijua Lugola si muadilifu tangu awali hapa ni viini macho tunafanyiwa inawezekana aliingizwa mkenge kutimiza mtakwa fulani ya kisiasa hasa
 
Tatizo mkuu anafikiri kutumbua atapata umarufu kumbe jamii inamchora na kumuona yeye ndiyo tatizo nani asijua Lugola si muadilifu tangu awali hapa ni viini macho tunafanyiwa inawezekana aliingizwa mkenge kutimiza mtakwa fulani ya kisiasa hasa

Hili pia neno Lugola na Baduel mbunge wa Kongwa waliwahi kufikishwa mahakamani kwa rushwa tena pesa yenyewe waliyohongwa Kwenye Kamati ilikuwa ndogo tu..
Walikuwa aina ya wabunge mercenary ambaye anaweza kupewa pesa kidogo tu akamshambulie waziri au kufumbia macho mambo wansyoyakuta kwenye kamati
 
Back
Top Bottom