Ni rafiki yangu mkubwa....katika kubana matumizi ya gari mbili mjini akaamua kuajiri dreva ili awe akiwashusha ofisini ,watoto shule na kuwarudia.....sasa anaona kama mke anakua karibu zaidi na huyu dreva wao.....ananiambia siku hizi kila jumamosi mke wake anampigia huyo dreva simu amfuate ampeleke kwenye mizunguko yake...kurudi ni late afternoon and siku ingine jioni......nikamuuliza kwani kuna shida gani dreva kua karibu na bosi wake, jamaa kidogo aniwashe kibao.......Kwa kweli tabia ya vijana wadogo kuajiri vijana wenzao kuwa madereva wa nyumbani ni uvivu wa kupindukia.....haohao ndio wanawaharibu watoto na kuharibu hata ndoa..kuweni makini jamani.