Dreva wa nyumbani anamnyima usingizi.......

Dreva wa nyumbani anamnyima usingizi.......

mpuuz huyo jamaa

huyo dreva hamlipi mshahara?mafut akwa mwezi gari inayokula sana haizid laki 2 hadi tatu.......huyo dreva anamlipa ngapi?

Hata mimi nimeshangaa, gharama zitabaki palepale, sema tu badala ya mafuta atmlipa mshahara "dele"
 
dereva shika usukani unipeleke mlima kitonga japo nishangae kwa dakika!!!
 
mwache ambanjue kwanza atapata akili!!!! huyo mwanaume mvivu sana ata kufikiri yeye ni boss anauwezo wa kumwambia dereva asije wakati wa weekend atamzungusha mkewe mwenyewe kwenye hiyo mizunguko.
 
Jamani siyo lazima kwani wanawake wako loose kiasi hicho??? Sasa tutafanya kazi na deal zingine saa ngapi za kuleta hela tukiwa mud a wote ma body guards wa wake zetu??
Mi naamini ulinzi mkubwa kwa mwanamke ni kumshughulikia vzr kwa 6*6, na kumpatia mahitaji muhimu, caring na kumuamini! Hizo nyingine mbwembwe tu.
Eti kina Dada semeni kweli, mkihudumiwa kisawasawa madrivers, gatekeepers, na gardeners, mpemba jirani, au Mangi wa duka watapewa nafasi ya kuwashawishi???
 
Huyo ukoloni unamsumbua. Mwambie kama anaweza kununua magari mawil maana yake weekend kila mmoja na mitoko yake tatizo anaona mwenzake atachuna gari. Wakoloni wote wako hivyo simlaumu.
 
hapo dereva soon atachukua nafasi ya kuwa baba mwenye nyumba
Hiyo mizunguko anayoenda mumewe hajui ni ya wapi na anaenda kufanya nini maana kama hana biashara au shughuli za mjini anaenda wapi



ndo ndoa za siku hizi

Mke au mume anaenda kwenye mihanjo mwenza wake hajui
 
Mwambie rafiki yako anipe kazi ya kufuatilia nyendo za huyo dereva na mkewe kwa ujira mdogo tu...naweza kuifanya hiyo kazi kwa mafanikio makubwa tu

Ni rafiki yangu mkubwa....katika kubana matumizi ya gari mbili mjini akaamua kuajiri dreva ili awe akiwashusha ofisini ,watoto shule na kuwarudia.....sasa anaona kama mke anakua karibu zaidi na huyu dreva wao.....ananiambia siku hizi kila jumamosi mke wake anampigia huyo dreva simu amfuate ampeleke kwenye mizunguko yake...kurudi ni late afternoon and siku ingine jioni......nikamuuliza kwani kuna shida gani dreva kua karibu na bosi wake, jamaa kidogo aniwashe kibao.......Kwa kweli tabia ya vijana wadogo kuajiri vijana wenzao kuwa madereva wa nyumbani ni uvivu wa kupindukia.....haohao ndio wanawaharibu watoto na kuharibu hata ndoa..kuweni makini jamani.
 
Jamani siyo lazima kwani wanawake wako loose kiasi hicho??? Sasa tutafanya kazi na deal zingine saa ngapi za kuleta hela tukiwa mud a wote ma body guards wa wake zetu??
Mi naamini ulinzi mkubwa kwa mwanamke ni kumshughulikia vzr kwa 6*6, na kumpatia mahitaji muhimu, caring na kumuamini! Hizo nyingine mbwembwe tu.
Eti kina Dada semeni kweli, mkihudumiwa kisawasawa madrivers, gatekeepers, na gardeners, mpemba jirani, au Mangi wa duka watapewa nafasi ya kuwashawishi???

hapanaaaaaaaaaaah!! Loh!
 
dereva wangu tuliaaaa...
hapa kwangu umetua......
nami nimekuachia chia chiiiiiiiia ukipendacho chaguaaaaa.


ukiona unaanza kupata mashaka na kitu chochote kile nasisitiza CHOCHOTE chukua hatua...la sivyo utajikuta umechelewa sana
 
Mambo mengine ni kuendekeza tu ili uonekane unaweza kutoa ajira kwa wengine.
 
Sasa hivi am 30 Years old, Sitegemei kuajiri Kiumbe yeyote wa Kiume kwa Kazi Yeyote Nyumbani kwangu Mpaka nitakapojaaliwa Kufika 50 Years Old, Majukumu yote yako ndani ya uwezo wangu, ikibidi nitamchukua Kaka yake toka ntoke na wife ndo awe Msaidizi Home...
Full stop...
 
Sasa hivi am 30 Years old, Sitegemei kuajiri Kiumbe yeyote wa Kiume kwa Kazi Yeyote Nyumbani kwangu Mpaka nitakapojaaliwa Kufika 50 Years Old, Majukumu yote yako ndani ya uwezo wangu, ikibidi nitamchukua Kaka yake toka ntoke na wife ndo awe Msaidizi Home...
Full stop...

Ni mtazamo mzuri sana kwa kijana kama wewe.......vijana wa siku hizi sijui wamekuaje aisee.....ni wavivu sana.
 
Mambo mengine ni kuendekeza tu ili uonekane unaweza kutoa ajira kwa wengine.

True....nakumbuka nimekulia kijijini.....ilikua kila siku lazima nitwange kilometer za kutosha kwenda shule na kurudi nyumbani...na ninaporudi natakiwa niiingie shamba kukatia ng'ombe.....kipindi cha kuchuma kahawa ilikua napiga asubui na jioni kabla na baada ya shule.....imesaidia maana kwangu sina hata gardener...nina masai tu kwa ulinzi....kila kitu mwenyewe isipokua kufua na usafi wa ndani........vijana wa siku hizi utakuta nyumba ina wafanyakazi watano...mahosegirl wawili.....kijana wa garden.....mlinzi na dereva......ni janga kubwa sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom