unataka taifa liongozwe na warembo na masharo baro?Hayo ndio madhara ya kuchagua watu washamba .
umekosa kazi ya kufanya. this is one cost of unemployment anyway.View attachment 686722
Tumeona jinsi mawaziri wetu wanavyovaa hadharani.
Kwa wengine inasikitisha.
Mawaziri ni kioo cha utendaji Serikalini, kuwa smart ni lazima na si ombi.
Mawaziri kama Kangi Lugola, Kigwangala, Mpina na Nchemba, wanavaa vitu vya ajabu ajabu.
Najua kuna official Dress Code kwa Waziri akiwa kazini na hadharani.
Kuvaa track suit na huku unatema maagizo na katumbo kana portrude kidogo inaonyesha yule anayeshughulikia nidhamu kwa mawaziri amelipuuzia hili.
Wangetembea uchi ndo ungeona kuna tatizo?Mambo yasiokuwa na maana ndo unapoteza nayo muda, tangu lini mavazi yakalisha mtu?
Dah!Umenisikirisha.Kuna kitu tujifunze kuhusu uvaaji.Wala sio tatizo. Ujumbe na ndio wa muhimu. Wangekuwa utupu ndio ingekuwa tatizo
Wanaharakatii haoView attachment 686722
Tumeona jinsi mawaziri wetu wanavyovaa hadharani.
Kwa wengine inasikitisha.
Mawaziri ni kioo cha utendaji Serikalini, kuwa smart ni lazima na si ombi.
Mawaziri kama Kangi Lugola, Kigwangala, Mpina na Nchemba, wanavaa vitu vya ajabu ajabu.
Najua kuna official Dress Code kwa Waziri akiwa kazini na hadharani.
Kuvaa track suit na huku unatema maagizo na katumbo kana portrude kidogo inaonyesha yule anayeshughulikia nidhamu kwa mawaziri amelipuuzia hili.
ukumizwa tu unategemea nini?View attachment 686722
Tumeona jinsi mawaziri wetu wanavyovaa hadharani.
Kwa wengine inasikitisha.
Mawaziri ni kioo cha utendaji Serikalini, kuwa smart ni lazima na si ombi.
Mawaziri kama Kangi Lugola, Kigwangala, Mpina na Nchemba, wanavaa vitu vya ajabu ajabu.
Najua kuna official Dress Code kwa Waziri akiwa kazini na hadharani.
Kuvaa track suit na huku unatema maagizo na katumbo kana portrude kidogo inaonyesha yule anayeshughulikia nidhamu kwa mawaziri amelipuuzia hili.
Mavazi yanahusiana vipi na utendaji wa watu
Kweli kabisa mkuuWatendaji wa serikal huwa wana dress code zao kisheria kwa mfano kuna Mavazi ukiingia nayo pale Wizara ya mambo ya ndani ya nchi unazuiwa kuingia ndani kupata huduma
Kweli kabisa mkuu
Sasa kwa nini linapuuzwa hili?
Mawaziri wangapi umewaona wakitoa maagizo na dress code hii?
Kigwangala kaokotwa pale WAMA hajawahi kuwa Mtumishi wa Umma ndio sababu hajui
Kangi Lugora alikuwa Kachero malapulapu wa Jeshi la Polisi ndio sababu hajui dress code!
Ukitaka kujua namna ya kiutumishi Mtazame January Yusuph Rajab Makamba, kuwa kwake foreign affairs na Jakaya moja ya vitu alivyojifunza ni pamoja na dress code
Nchemba anaamimi kuvaa rangi za taifa muda wote ndo uzalendo