Babuu Murasa
JF-Expert Member
- Jan 1, 2013
- 229
- 120
Ahahahaha aise nmecheka sana kwenye hyo description ya tumboView attachment 686722
Tumeona jinsi mawaziri wetu wanavyovaa hadharani.
Kwa wengine inasikitisha.
Mawaziri ni kioo cha utendaji Serikalini, kuwa smart ni lazima na si ombi.
Mawaziri kama Kangi Lugola, Kigwangala, Mpina na Nchemba, wanavaa vitu vya ajabu ajabu.
Najua kuna official Dress Code kwa Waziri akiwa kazini na hadharani.
Kuvaa track suit na huku unatema maagizo na katumbo kana portrude kidogo inaonyesha yule anayeshughulikia nidhamu kwa mawaziri amelipuuzia hili.