CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,915
Dragon fruit ni tunda ghari sana ingawa siku zote naamini kitu kikiuzwa ghari sana una exclude kundi kubwa sana kuto kununua.
Majority ya watu ni wa viapato vya chini. Sasa ukiuza tunda sh 10,000/ au 15,000/ au 5000/ kwa mtu wa kawaida hawezi nununua ni bora akanunue tikitiki maji sh 2000/ hio bei inabakia kwa watu wa daraja la juu ndio watanunua tunda sh 15,000/.
Matunda kama haya yanapaswa kuja kuuzwa sh 500/ au 1000/ na hapo ndio consumption itakuwa kubwa sana.
Hapo ni Arusha mitaa ya Rushuda.tunda moja hapo ni sh 5000/ bado ni ghari sana. inapaswa kuja kuwa sh 1000/ au 1500/ basi.
Majority ya watu ni wa viapato vya chini. Sasa ukiuza tunda sh 10,000/ au 15,000/ au 5000/ kwa mtu wa kawaida hawezi nununua ni bora akanunue tikitiki maji sh 2000/ hio bei inabakia kwa watu wa daraja la juu ndio watanunua tunda sh 15,000/.
Matunda kama haya yanapaswa kuja kuuzwa sh 500/ au 1000/ na hapo ndio consumption itakuwa kubwa sana.
Hapo ni Arusha mitaa ya Rushuda.tunda moja hapo ni sh 5000/ bado ni ghari sana. inapaswa kuja kuwa sh 1000/ au 1500/ basi.