Dr Slaa ataongoza Kondoo wa bwana wa Tanzania baada ya uchaguzi October 2015 kutokea pale IKULUSijakiona cha maana kuiongoza nchi kama Tz labda Ubunge wakimboni kwake mambo yote yaliyobaki ni muhimu kwa kondoo za bwana.
Fact ni fact tu Dr Slaa aliwahi kuwa Padri lakini sasa si Padri na atakuwa raisi wa nchi hiioh boy! here we go again Padre slaa....:A S 100:
Fact ni fact tu Dr Slaa aliwahi kuwa Padri lakini sasa si Padri na atakuwa raisi wa nchi hii
Ndoa lini... Maana naskia ucku unajikuna sana... Ni PM
Kwenye kiapo kusingekuwa na utaratibu wa kutangua kiapo basi angekuwa bado padre maadamu kanisa liliridhia aondoke basi huna sababu yakujikausha kama hufamu muundo wao tunamgoja atinge IKULU sisi akasafishe mafisadi
hahaha ......Ah wapi...! Kiapo chake cha kutumikia kanisa kilimshinda ataweza kuongoza watu milioni 40 na ushee wa dini mbalimbali ..?
Huyu kibabu slaa sinpendi sana bora AF......eeee
Kwenye kiapo kusingekuwa na utaratibu wa kutangua kiapo basi angekuwa bado padre maadamu kanisa liliridhia aondoke basi huna sababu yakujikausha kama hufamu muundo wao tunamgoja atinge IKULU sisi akasafishe mafisadi
Dr Slaa ataongoza Kondoo wa bwana wa Tanzania baada ya uchaguzi October 2015 kutokea pale IKULU
Hapo kwenye elimu, kuna mtu anasoma PhD bila hata degree yoyote? - Majanga.
Hivi unaweza kweli kustaafu kazi ya Mungu?Fact ni fact tu Dr Slaa aliwahi kuwa Padri lakini sasa si Padri na atakuwa raisi wa nchi hii
Kwenye kiapo kusingekuwa na utaratibu wa kutangua kiapo basi angekuwa bado padre maadamu kanisa liliridhia aondoke basi huna sababu yakujikausha kama hufamu muundo wao tunamgoja atinge IKULU sisi akasafishe mafisadi
hahaha ......Ah wapi...! Kiapo chake cha kutumikia kanisa kilimshinda ataweza kuongoza watu milioni 40 na ushee wa dini mbalimbali ..?
Huu uandishi wako wa kike peleka Facebook.