Wa Kanisa gani?go go go dk rais mpya
Mkuu watanzania watambue kuna Alliance ya mafisadi imejichanga kutinga ikulu.Baadhi yao akiwemo mgombea wao wapo kwenye list of shameeee bhana hizi rangi nyekundu kwenye hiyo list of shame inamaanisha kitu gani mkuu ? ufafanuzi ni muhimu sana .
Dr. Slaa ni janga kwa taifa,ukianza hivyo na vyama vingine vya ukawa vitaleta watu wao. Wazo lako n la kuutenganisha ukawa
Ungekuwa wewe ungeweza...
Poor you- kuhasi kiapo ndiyo nini?kwenye cv yake umesahau kuhasi kiapo cha mungu na cha upadre kutokuoa ​hadi kufa
yeye sio malaika,ni binadam ila MUNGU kampa kipawa cha uongoziMh. Hana udhaifu wowote?
Ni mtizamo wacko tu! Alipoona upadre unamshinda, alikuwa mwepesi kukiri na kuachana, yaani sio mnafiki! Kwa sifa hii Dr Slaa is honest not only to himself but to his society! Ni mapadri mangapi na pia masheik na wachunagsji wanaishi kiunafiki katika jamii yetu? Bora nikawa na kiongozi akianguka akijikwaa anakiri nimeanguka, kuliko kuwa na kiongozi mnafiki! Oh Mimi nawajali kumbe!Mambo 9 Kuhusu Dr.Wilbroad Slaa
1. Anachokisimamia
Dk Slaa anasimamia maadili, uadilifu, umakini na uwajibikaji katika uongozi wa nchi na utendaji serikalini.
Dk. Slaa anaamini kuwa Watanzania wanaweza kuleta mabadiliko wanayoyataka wakipata uongozi bora na thabiti..
...Kwa mtizamo wangu dr.slaa hana maadili na sio muadilifu na haaminiki..angekuwa muadilifu na mwaminifu asingelisaliti kanisa katoliki.
if u dont know now knowHapo kwenye elimu, kuna mtu anasoma PhD bila hata degree yoyote? - Majanga.
Mambo 9 Kuhusu Dr.Wilbroad Slaa
1. Anachokisimamia
Dk Slaa anasimamia maadili, uadilifu, umakini na uwajibikaji katika uongozi wa nchi na utendaji serikalini.
Dk. Slaa anaamini kuwa Watanzania wanaweza kuleta mabadiliko wanayoyataka wakipata uongozi bora na thabiti..
...Kwa mtizamo wangu dr.slaa hana maadili na sio muadilifu na haaminiki..angekuwa muadilifu na mwaminifu asingelisaliti kanisa katoliki.