Kuwatofautisha Bavicha na futuhi ni kazi ngumu!
Daahh...eti nikweli kinana kazomewa Bukoba?
Kuwatofautisha Bavicha na futuhi ni kazi ngumu!
Dr.Slaa ni lina atafunga ndoa na Josefin Mushumbusi? Nilimchangia mchango wa harusi yake mpaka leo haijafanyika,,,Kama harusi imemshinda aturudishie pesa zetu
kwenye cv yake umesahau kuhasi kiapo cha mungu na cha upadre kutokuoa ​hadi kufa
kwani amewahi kugombea mara ngapi mpaka achoke...Slaa hachoki tu mbio za uraisi, angepunzika tu ushauri wa bure.
dubwana huna jipya,tumekuzoea tunakuona kama mzuraraji wa JF
ccm inamuogopa sana Dr Slaa , kuna mgombea wa ccm amenong'oneza marafiki zake kwamba KULIKO KUPAMBANA NA DR SLAA ni heri kujitoa .
hawezi kuupenda,na kwenye List of Shame,ye ni namba 10,akifungana na majembe yakeEL hapendi uzi huu
alikuzinia nani yako mkuu.pole kwa kuziniwa nduguyo.btw vijana njooni na hoja za kumfikirisha Dr.Slaa.unless mkiri kwamba wapinzani wetu hamna hoja mana hata chama chenu kimewashinda mnasafiri kwa matumainiHatuwezi kumkabidhi hii nchi mzee mzinifu...