Dr. Wilibrod P. Slaa: Special Thread

Dr. Wilibrod P. Slaa: Special Thread

Moja Kwa Moja Ana Kura Yangu Baba Slaa
 
hakika kupitia andiko hili nimemjua Dr slaa , huyu mtu ni hazina ya nchi hii .
 
Nipo tayari kwa vita yoyote hadi Slaa atinge ikulu.... nimechoka na wezi wa CCM wanaolindana na kusafishana.....
 
Kura yangu amepata maana na amini ndio atapitishwa na UKAWA
 
Tutakuwa wendawazimu kama tutashindwa kuchimba Madini hadimu na yanayohitajika kwa ubora wake katika soko la Dunia( Dr. P. W. Slaa) kwa sababu tumezoe kuuza madafu CCM. Niwakati wa Watanzania kuheshimika kimataifa , tuonekane tunauwezo wa kupima na kutenda .tusikalie mazoea huku CCM wakituhadaa yakuwa wapinzani hawawezi bila wao kutuonyesha wamewezaje..?
 
Kwa yale maigizo ya ugambani yanayoendelea sijaona mwenye uwezo kama Dr slaa wengi wanasema watapambana na ufisadi na kukuza uchumi, wakati bado ni mawaziri kwenye serikali ya kikwete wameshindwa vipi?

Nilichojifunza kwa ukawa ni uvumilivu wao na mshikamano wao tangu bunge la katiba na kuacha posho ya laki 3 kwa siku na kurudi mtaani na kuwafanya waharamia wa katiba kushindwa kuipitisha baada ya kubanwa na ukawa na viongozi wa kiroho akiwemo Ngwajima. Namuona Dr slaa ikienda ikulu na nchi kupumua baada ya kutoka kwa mkoloni mweusi ccm
 
  • Thanks
Reactions: myd
Dr.W.Slaa ni katapila mafisadi watakimbia nchi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom