Dr. Wilibrod P. Slaa: Special Thread

Dr. Wilibrod P. Slaa: Special Thread

Huyu Baba Paroko mbona kakimbia kazi ya kanisa?
 
mleta mada,

huna haja ya kuweka historia ya dr slaa upya humu jf. Sijui weweni mgeni ama vipi, lakini tayari historia ya dr slaa ipo humu kabla ya kushindwa kwake uchaguzi wa mwaka 2010.

Haya yote unayofanya hapa ni marudio tu. Na membe leo amewachana live kuwa hao wafalme wenu ndio wanafanya ccm ushinde kwa kishindo katika kila uchaguzi. Naona na wewe kwa akili zako ndogo unarudia yale yale.
invisible...tafadhali unganisheni uzi huu na ile uzi ya kipindi kile ya dr slaa.

mbatia kwanza kibabu malove baadae
 
Mleta mada,

Huna haja ya kuweka historia ya Dr Slaa upya humu JF. Sijui weweni mgeni ama vipi, lakini tayari historia ya Dr Slaa ipo humu kabla ya kushindwa kwake uchaguzi wa mwaka 2010.

Haya yote unayofanya hapa ni marudio tu. Na Membe leo amewachana LIVE kuwa hao wafalme wenu ndio wanafanya CCM ushinde kwa kishindo katika kila uchaguzi. Naona na wewe kwa akili zako ndogo unarudia yale yale.
Invisible...tafadhali unganisheni uzi huu na ile uzi ya kipindi kile ya Dr Slaa.
pita zako punguani mkubwa,kutwa kujiuza kwa kambi za urais,mara Lowasa,Mako na leo Membe.achana na sisi tunaojielewa
 
Last edited by a moderator:
dr.slaa ni lina atafunga ndoa na josefin mushumbusi? Nilimchangia mchango wa harusi yake mpaka leo haijafanyika,,,kama harusi imemshinda aturudishie pesa zetu

hivi nifahamishe slaa yupo kwenye kundi la wale mapadre waliokuwa wanashinikiza papa kuoa na wakafukuzwa?
 
ungekuwa wewe ungeweza...

sana tu,lkn inaonekana huyu babu aliaza kuzini bado akitumikia madhabau ya mungu maana wanasema simba akila nyama ya binadamu ahachi hata cku moja atawamaliza,babu malovee oyeeee!
 
Mkuu Mungu akubariki kwa kuanzisha hii thread ya Rais wangu aliye kwenye mioyo mingi ya watanzania
 
Nilikuwa najiuliza kwa nini Dr.Slaa hatumii kifaa cha kutafsiri lugha anapokuwa manchi ya mbele.Kumbe anajua lugha 8
 
Mleta mada,

Huna haja ya kuweka historia ya Dr Slaa upya humu JF. Sijui weweni mgeni ama vipi, lakini tayari historia ya Dr Slaa ipo humu kabla ya kushindwa kwake uchaguzi wa mwaka 2010.

Haya yote unayofanya hapa ni marudio tu. Na Membe leo amewachana LIVE kuwa hao wafalme wenu ndio wanafanya CCM ushinde kwa kishindo katika kila uchaguzi. Naona na wewe kwa akili zako ndogo unarudia yale yale.
Invisible...tafadhali unganisheni uzi huu na ile uzi ya kipindi kile ya Dr Slaa.

Acha wivu wa kike wewe mama.Uoni jinsi misukule inavyokimbilia ikuru kwenda kuiba ikiongozwa na jambazi sugu lowasa na joka la mdimu membe.Kinana mr tembo yuko anainda
 
Last edited by a moderator:
Dr.Slaa ni lina atafunga ndoa na Josefin Mushumbusi? Nilimchangia mchango wa harusi yake mpaka leo haijafanyika,,,Kama harusi imemshinda aturudishie pesa zetu

Ulitoa bei gani nikurushie
 
Mleta mada,

Huna haja ya kuweka historia ya Dr Slaa upya humu JF. Sijui weweni mgeni ama vipi, lakini tayari historia ya Dr Slaa ipo humu kabla ya kushindwa kwake uchaguzi wa mwaka 2010.

Haya yote unayofanya hapa ni marudio tu. Na Membe leo amewachana LIVE kuwa hao wafalme wenu ndio wanafanya CCM ushinde kwa kishindo katika kila uchaguzi. Naona na wewe kwa akili zako ndogo unarudia yale yale.
Invisible...tafadhali unganisheni uzi huu na ile uzi ya kipindi kile ya Dr Slaa.

Wamekataa kuunganisha sasa,endelea kuugulia maumivu ya kukwanguliwa magamba kama samaki.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom