Dr. Wilibrod P. Slaa: Special Thread

Dr. Wilibrod P. Slaa: Special Thread

Eti Dr.Slaa apambane na Membe,haah haah Membe mweupe sana,tena kwenye CCM iliyovunjika
 
Salama ya ccm ni kumpitisha magufuli tofauti na hapo slaa lazima awe rais membe hawezi kupambana na slaa labda washinde kwa goli la mkono
 
Tunaomba Dr Slaa atangazwe Leo Kuwa mgombea urais ukawa .safari ianze kuelekea ikulu .
 
Mambo 9 Kuhusu Dr.Wilbroad Slaa

1. Anachokisimamia

Dk Slaa anasimamia maadili, uadilifu, umakini na uwajibikaji katika uongozi wa nchi na utendaji serikalini.

Dk. Slaa anaamini kuwa Watanzania wanaweza kuleta mabadiliko wanayoyataka wakipata uongozi bora na thabiti..

...Kwa mtizamo wangu dr.slaa hana maadili na sio muadilifu na haaminiki..angekuwa muadilifu na mwaminifu asingelisaliti kanisa katoliki.

Hatuna muda huu wafitina..safari ya Dr Slaa ikulu imeanza .
 
Najivunia kushea birthday na Rais wangu mtarajiwa. Kumbe ndo maana na mimi ni kichwa kama Slaa.
 
Vipofu mmekutana slaa apewe nchi imekua kanisa hii.........

Utajua siku unaenda ofisi ya selikali na kukuta picha ya slaa nyuma ndio utajiuliza kama ni msalaba wa Yesu Kristo au nn
Yani slaa hakuna wa kumchallenge, labda kama CCM ingenisimamisha mimi angalau Slaa angenihofia
 
Jaman atachaguliwa sanaaaa tu na kura atapata lakini jura zitalindwa vipi maaba wataiba tuuuu jaman
 
Back
Top Bottom