Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,950
- 134,021
- Thread starter
- #261
October tunamkabidhi nchi Dr.Slaa.CCM hakuna walichofanya zaidi ya kuleta uhuru
familia tu hawezi kutunza sembuse urais...mpeni urais miaka miwili tu mtarudi mnalia Humu.....God forbid!!
Imekuja kwenu kuomba ugali au Ada Shule?
hoja dhaifu,wewe kalia kufatilia mambo ya vitandani mwa watu?unataka tuseme kuhusu watoto 30+ wa JK.Unataka tuseme magomvi ya Mkapa na Mama Anna mpaka Mkapa akavunjwa mguu.zungumzia uwezo wa mtu sio mambo ya kitandani.Kama unaumia sana kashee na JosephineUsijibu tu mradi ubishe..shida Sio kutunza muulize Ana mke?? I mean mke wa maana meen umenpata??
Oya kura ni yako mawazo ni yangu..ww kinakuuma nn km wewe unampenda mpende..usifosi kila Mtu ampende kila Mtu na mawazo yake Ila tu nkukumbushe hulipwi na utazidi kuwa maskini!! Usiku mwema eehoja dhaifu,wewe kalia kufatilia mambo ya vitandani mwa watu?unataka tuseme kuhusu watoto 30+ wa JK.Unataka tuseme magomvi ya Mkapa na Mama Anna mpaka Mkapa akavunjwa mguu.zungumzia uwezo wa mtu sio mambo ya kitandani.Kama unaumia sana kashee na Josephine
October slaa ajiandae kurudi kijijini ni wazi kwamba itkuwa niaibu kuongozwa na ukawa tz
October slaa ajiandae kurudi kijijini ni wazi kwamba itkuwa niaibu kuongozwa na ukawa tz
akili ndogo,hapa hatuongelei mapenzi tunatathmini kiongozi mkuu wa nchi mwenye sifa na uzalendoOya kura ni yako mawazo ni yangu..ww kinakuuma nn km wewe unampenda mpende..usifosi kila Mtu ampende kila Mtu na mawazo yake Ila tu nkukumbushe hulipwi na utazidi kuwa maskini!! Usiku mwema ee
Lunyungu hiki ulichokitaja ndio cha muhimu kabisa kwa kiongozi tunayemtaka. Halafu kiongozi ni yule ambaye wananchi ndio wanamshawishi awaongoze sio yeye awamwagie pesa na kusema mimi ninawafaa! Ona Slaa hana hata munkari wa huo Urais bali sisi ndio tunasema unafaa wewe Slaa.A very CV kwa kweli . Ongezea anajua maisha ya watanzania wa kawaida na mateso yao ya kila siku bro . Slaa is the man .
Swala la kuwa na mke ni fikra duni.vipi waloleta umaskini tz hawana wake?. Mbona mapadri wakatoli wamefanya mengi kijami
sio Lowasa tu,check #5 ,8 na 9.wakija wasimsafishe Lowasa tu,wawasafishe na wanao mzungukaOhoooo ushaharibu kumbe EL alitajwa kwenye list of shem mwembe yanga.... TeamLowassa njoo ujibu tuhuma