Go Dr. Slaa, Mungu akusimamie safari hii tupate rais wa ukweli.
Umri,umbo, ukubwa wa kichwa sio tatizo.. Katika kuongoza.. Muhimu nini
kinafanyika Kwa maendeleo ya taifa na watu wake Kwa ujumla,, kutegemea na maliasili zilizopo.... Mfano.. Mbona raisi wa China,India na mkubwa kuliko kikwete mbona wako mbele kimaendeleo... Sio akili ndogo kutawala akili kubwa.. Dr slaa anaakili kubwa akipewa nafasi anaweza badilisha hali ya uchumi na maisha ya watu kutegemea rasilimali zilizopo nchini tukapiga hatua.. Kubwaaaaa.. Hata ccm wapo watu wenyeuwezo tatizo ni mfumo.. Solution ni kubadili chama tuweke mfumo mwingine tutaona mabadiliko ya kweli.....
Dr slaa ni noma! Ni msomi aliyebobea zaidi katika taaluma mbalimbali hapa nchini kwetu. Ukiachilia mbali swala la taaluma aliyo nayo, swala la lugha za kimataifa linamfanya Dr slaa awe wa pekee sana. Kireno anajua, kiitaliano anajua, kijerumani kama Maji, nk.
Ukiwa na rais mwenye uwezo wa lugha za kimataifa katika nchi, tambua kwamba huo ni uchumi anatembea nao. Akienda ulaya akazungumza lugha yao wao wenyewe wanamwaga mihela tu. Mfano mzuri ni mihela anayopewa na wafadhili toka nje hilo halina ubishi Dr slaa ni wakimataifa.
..hata Magufuli ni mwepesi kutokana na kashfa inayomkabili ya kuuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupa.
..pia ana kashfa nyingine ya kukaidi ushauri wa wanasheria na kuamuru kuvunjwa kwa kituo cha mafuta mwanza. Kesi ilipopelekwa mahakamani ikaamuliwa serikali ilipe sh. Billion 14.
..tatizo lake lingine ni mropokaji. Kwa mfano aliwahi kwenda Kenya na kumpigia kampeni Raila Odinga. Magufuli alidai angekuwa na uwezo angemuachia Raila aongoze jimbo la Chato!!
mungu hasimamii wasaliti
Hapa ni Dr. Slaa tu Mr.Pombe ziiiiii
Kigezo cha usomi, umri, background, lugha pekee havitoshi kumtambua rais tumtakaye.
Watanzania tunahitaji mabadiliko ya mfumo mzima Wa uongozi ili kuondoa misingi ya unyonyaji, ubabe, ubaguzi uliowekwa na ccm,
Tunahitaji mfumo mwingine utakao tutoa hapa na kutuvusha katika Dira ya maendeleo.
Tumechoka kuburuzwa, kuinewa, kunyanyaswa kwenye mambo ya msingi yanayolihusu taifa hili.
Naomba niweke wazi kwamba mwqka 2015/2020 in mwaka Wa mabadiliko.