Dr. Wilibrod P. Slaa: Special Thread

Dr. Wilibrod P. Slaa: Special Thread

kwenye cv yake umesahau kuhasi kiapo cha mungu na cha upadre kutokuoa ​hadi kufa
Hapana hajawahi kuhasi, aliacha kwa kufuata taratibu zote za kanisa. Kuacha upadri ni kitu kinachowezekana ktk kanisa mradi tu ufuate utaratibu na Dr. Slaa alifuata utaratibu.
 
Padri slaa kachoka hana mvuto tena,arudishe kwanza binti wa watu na akawachukue watoto wake aliowatelekeza,huyu babu anazeeka vibaya sana
 
Siwezi kuharibu kura yangu kumchagua huyo slaa! Nitakuwa sikutendea haki nafsi yangu.
 
Kiukwel ukawa kati ya mistake kubwa mliyoifany ni maamuz ya leo kutangaza sambamba mgombea Kwa ticket ya ukawa kwa maoni yang ilkuwa ni mapema San ikizngatia ccm bado wapo kweny mchakato wa kupata kiongoz wao hakukuwa na haraka zaid ungekuw ni mda mwafaka wa kujipanga na kuruhusu air time kwao nahatimae wangetagaza wa kwao but kwa waliofany now nadhan air time ni ndogo kuanzia vyombo vya habar na hata kwa wananchi wenyewe kwa sabab macho na maskio ya watanzania weng yapo dodoma na hivyo imewasaidia ccm kujipanga zaid nahatimae magufuli wamehis anaweza kuwa mwarobaini wa kuwavusha jipangen ukawa...........,,,,,,,,,.... Kaz bado inaendlea
 
Ikulu sio hospitali mwaka huu hatutaki wagonjwa wala vibabu ikulu wasije wakasababisha tukafanya uhaguzi kabla ya muda.kwani ukiangalia umri wa padra slaa anamfukizia mzee Mugabe.
 
Umri,umbo, ukubwa wa kichwa sio tatizo.. Katika kuongoza.. Muhimu nini
kinafanyika Kwa maendeleo ya taifa na watu wake Kwa ujumla,, kutegemea na maliasili zilizopo.... Mfano.. Mbona raisi wa China,India na mkubwa kuliko kikwete mbona wako mbele kimaendeleo... Sio akili ndogo kutawala akili kubwa.. Dr slaa anaakili kubwa akipewa nafasi anaweza badilisha hali ya uchumi na maisha ya watu kutegemea rasilimali zilizopo nchini tukapiga hatua.. Kubwaaaaa.. Hata ccm wapo watu wenyeuwezo tatizo ni mfumo.. Solution ni kubadili chama tuweke mfumo mwingine tutaona mabadiliko ya kweli.....
 
Kuna kiongozi gani ambaye hana dini? Mfano rais wa Mao wa China alikuwa pia kiongozi wa dini nchini China miaka hiyo.. Kwanza tambua selikali zote zimetokana na dini. Hata vitabu vya mungu vinaeleza mzee ujui hilo? Mbona bungeni wanasali kabla ya kufungua.. Maana yake dini ndio muhimili ya maisha ya mwanadamu.. Kwa hiyo kiongozi wa dini kuwa raisi sio tatizo.. Viongozi wa sasa ndio hawana imani ya mungu ndio maana tunayumba.. Hujui kama akuna dini akuna taifa.... Angalia taifa gani duniani lisilo na makanisa au miskiti? Watu wana dini lakini taifa halina dini.. Japo kuna nchi zinaongozwa na dini.. Mfano Iran,
 
nchi ina wakaazi takribani 45mil humu jamii forum kuna membaa hata elfu kumi sijui kama wanafika.....wamekutana wajinga wachache wenye mawazo yanayofanana kua ukawa wanabeba nchi basi wamejiridhisha...na kila post wanaocomment ni walewale wao wanajiona wengi mpaka wanaingiza UKAWA ikulu hahahaha.......tena isitoshe katika hawa wapija kelele humu wengine hawana sifa ya kupiga kura amazing!!!! nchi ni zaidi ya jamii forum waungwana wapiga kura wapo makazini sio jamii forum humu wapo wapaka matope na wapiga kelele tu zinduken.
 
Back
Top Bottom