Dawa ya Mjinga
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 382
- 145
UJUACHO KITONE, USOJUA BAHARI - MTU KITU, ASO KITU KINYAMA CHA MWITU...majibu yako yapo katika maneno yako mwenyewe..Mzee ruyksa anajua fika kwamba Lowassa kenda kuhodhi chama na mwanafunzi tu kwao katika siasa! wamemlea wenyewe!
Umejibu vyema kabisa. Kama ni hivyo kuwa UKAWA ni mwanafunzi na haiyamkiniki mwanafunzi kumshinda mwalimu wake, ukweli huo pia una maana kwa wizi, ufisadi, na uovu wowote alionao mwanafunzi, kwani kamwe hawezi kumshinda mwalimu CCM.
Ndio maana nilikuambia usihangaike na UKAWA kuhusu maovu maana huyu ni mwanafunzi tu na mwalimu wake aliyebobea katika maovu ni CCM. Hiyo ndiyo maana ya kauli ya gwiji wa Kiswahili, Mzee Ruksa.