..siwezi kuamini hadi iwe hivyo..ila kama ndivyo...basi nitaamini kuwa dr.Slaa si strategist mzuri....maana kama ataondoka ataua sana nguvu ya UKAWA...na lazima itajulikana kuwa nae alijali zaidi madaraka....na ata provekuwa Mbowe ni zaidi yake ki mikakati...maana Mbowe ameweza kukubali hali halisi kufatana na mazingira yaliyopo...na hata kuamua kugombea ubunge jimboni mwake....Kinachowazuia hawa kina Dr. Slaa kufanya hivyo ni nini???....
...Lazima Dr. Slaa atambue kuwa odds za yeye kushinda uchaguzi mkuu kama angepitishwa UKAWA ingekuwa ndogo sana..maana kwanza alishindwa mwaka 2010...kinacho mfanya afikiri angeshinda this time around dhidi ya magufuli ni nini???..Lazima awe strategist anaefanya maamuzi kwa kufatana na wakati..
...Nilianza kupoteza msimamo wangu dhidi ya Dr. Slaa tangu alipokuwa anaandamwa na ma kesi ya kifamilia....pale alimwacha mke wake wa zamani mama Rose Kamili na kumchukua mke wa mtu mama mshumbusi....Kwa hiyo lazima nae kabla hajafanya maamuzi ya kuondoka chadema atambue kuwa hakuna binadamu aliye perfect...na kwamba siasa hubadilika kutokana na mazingira (kama wanavyosema dynamics za kisiasa)....Mbona wenzak huko chadema wamekubali hali halisi???....napata mashaka na maamuzi yake (kama itakua hivyo)kuyafanya kwa kumsikiliza mamamshumbusi....Hatumtaki rais afanyae maamuzi kwa kumsiliza mkewe....Hata Lowassa aliombwa sana na mkewe asihame ccm lakini alifanya maamuzi magumu.....Maamuzi yaliyowafungua watanzania ma milioni toka vifungo vya kifikra....