Dr. W. Slaa anaondoka CHADEMA

Dr. W. Slaa anaondoka CHADEMA

Najua wapo watakaobeza na hata kutukana lakini napata ushujaa wa kuyasema haya. Dk. Slaa usiku huu anaingia makao makuu kukabidhi gari, kadi, walinzi na cheo. Anajitoa CHADEMA. Naomba uzi huu uachwe hapa hapa ili baadaye nihukumiwe kwa haki.

Chanzo: Mimi mwenyewe.
Sasa hivi sina muda wa kubembeleza mtu, anayetaka kuondoka na aondoke salama. Namchukia sana mtu anayetaka kuyasaidia ma-ccm kubaki madarakani. Tunayo kazi moja tu, nayo ni ya kumng'oa mkoloni mweusi!!
 
Kwani Dr. Silaa si bado ana nafasi ya kuchukua fomu kuomba ridhaa ya kuchaguliwa. Hoja ya yeye kuondoka mbona haina msingi. hadi leo Dr. Silaa alikuwa amechukua fomu ya kugombea uraisi?

Fomu ya urais Chadema haitolewi kwa mtu mwingine yeyote,ni fomu moja tu kwa Edward Ngoyai Lowassa.Mtu mwingine yeyote haruhusiwi kuchukua fomu.

Usichanganye na CCM ambako fomu ilikuwa ruksaa ya kila mwanachama.
 
Dr slaa akiondoka CHADEMA hakukuwa na haja ya Lowasa kuja then....unakuwa umepoteza mtu muhimu kwa mgeni wa siku moja
 
Sasa hivi sina muda wa kubembeleza mtu, anayetaka kuondoka na aondoke salama. Namchukia sana mtu anayetaka kuyasaidia ma-ccm kubaki madarakani. Tunayo kazi moja tu, nayo ni ya kumng'oa mkoloni mweusi!!

Utamng'oaje mkoloni mweusi kwa kumpa urais?huyo Lowassa ambaye nyuma yake kuna Rostam, Andrew Chenge, Karamagi na wachafu wote unaowaogopa CCM ni hatari zaidi kuliko Magufuli ambaye hana hao mafisadi nyuma yake
 
Dr slaa akiondoka CHADEMA hakukuwa na haja ya Lowasa kuja then....unakuwa umepoteza mtu muhimu kwa mgeni wa siku moja

Siwezi kuvumilia kumpoteza Slaa sababu ya Lowasa.....Lowasa hawezi kushinda bila Slaa....
 
Je Slaa kakasirika sababu Lowasa kasema ukweli?
Je kakasirika sababu ndoto yake ya muda mrefj haitafanikiwa
 
Najua wapo watakaobeza na hata kutukana lakini napata ushujaa wa kuyasema haya. Dk. Slaa usiku huu anaingia makao makuu kukabidhi gari, kadi, walinzi na cheo. Anajitoa CHADEMA. Naomba uzi huu uachwe hapa hapa ili baadaye nihukumiwe kwa haki.

Chanzo: Mimi mwenyewe.

Kama kweli hongera zake sana dr
 
nashawishika maana jamaa hajatokea hata leo pale Rais wa awamu ya 5 Lowasa anapochukua fomu.
ila tulimpenda japo binafsi naamini nguvu ya lowasa ni kubwa kuliko yake kwenye kugombea urais. yan mafanikio yapo karibu zaidi kwa lowasa kuliko kwa silaa na hata tafiti mbali mbali zilionyesha hivyo..Silaa ni mtu makin na akiondoka ji pigo pia ila ni bora akaondoka maana mtaji wa lowasa ni mkubwa kuliko wake.
namheshimu na ningependa abaki lakina kama hawezi hatuna jinsi ukweli ni kuwa tunadhamini mchango wake katika kujenga upinzani wa kweli lakini kwa kuwa inatakiwa itumike njia yoyote ile ili kuhakikisha ccm inaondoka madarakani na lowasa ni mtu sahihi zaid ya Silaa.

Acha ujinga ww umekuja raha yako kisa Lowasa anagombea unajua tulikotoka na harakati za chama hiki mpaka wengine tulifukuzwa vyuo kisa Cdm.
Sio siri kama Mbowe ulikuwa hujakubaliana na Dr Slaa, ukafanya maamuzi ya kibabe, wengine tutakaa kando japo ccm wala act siwezi kwenda
 
Back
Top Bottom