Nina akili timamu kabisa. Nina tuzo za uandishi wa habari za uchunguzi. Amini nilichoposti hapa.
Hawa watoto ndiyo watakaompigia kura fisadi Lowassa nasikia wote wamejiandikisha jana.
Nimezungumza na Dr. Slaa jioni anasema huo ni uzushi. Hajajiuzulu wala walatoki Chadema. Mkewe alipokea simu na kugomba
Siwezi kuvumilia kumpoteza Slaa sababu ya Lowasa.....Lowasa hawezi kushinda bila Slaa....
ina maana Pasco,alivyosema either you are with us or the enemy-alimaanisha haya? Anyway stage tuliofikia haiwezekani mtu mmoja ai derail-kama anaondoka all the best-The reality ni ufunguo wa ikulu kwa opposition anao Lowassa tusijidanganye otherwise
Aisee, so sad kama ni kweli. Na I have to be honest nimekata tamaa kabisa
KAULI MBIU NI MADILIKO TU, ATA HUYO Dr. SLAA AONDOKE AU ABAKI.
INA MAANA YEYE ATAIBADILISHA HII NCHI? CCM IMEJAA Maprofesa ila ni Madudu tu vyachwani mwao.
TUKO PALE PALE MAGEUZI MBELE.