Cheche Mtungi
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 2,619
- 776
kiwatenguFew months ago, kuna member mmoja hapa aliulizia juu ya dr. Ulimboka.
Nimeutafuta ule uzi sijauona!!
So kwa kupitia thread hii, naomba nimjulishe kuwa dr ulimboka yuko poa, nimekutana nae jioni hii hapa boma - hai.
Nimeongea nae!
Yuko poa and ok.
Mungu walinde wote wanaoteswa kwa ajili ya kutetea haki.
Amen!!
Kufanya kazi katika mazingira magumu ni sababu tosha za kugoma
atakulaani wewe mwenyewe,ule mgomo wa madaktari ulisababisha vifo vya masikini wala siyo kukomoa viongozi.Pamoja na kugoma nini kimebadilika? zaidi waliambiwa waache kazi na wao wenyewe wakajirudisha kazini.
Kuna njia nyingi za kufikisha malalamiko siyo kwa mgomo,madaktari wakigoma ni mahafa makubwa sana kwa raia masikini.Ndugu yako angekufa kwa sababu ya mgomo huo ndio ungeelewa nini nasema.
Najua Tanzania na nchi nyingi za Africa tuna matatizo kwenye sekta za Afya tofauti na nchi zilizoendelea lakini lazima ujue maendeleo hayaji kwa siku moja,ulaya wameanza kuendelea toka karne ya 15,kamwe usijifananishe nao.
Cha muhimu serikali iboreshe sekta za afya lakini madaktari wanaogoma wanakomoa wananchi masikini,wenye uwezo wanaenda hospitali binafsi ,wengine ata nje ya nchi.
usilete siasa hapa angalia wanaotaabika ni hakina nani,uyo ulimboka kitendo alichofanyiwa siyo kizuri ila siwezi kumuonea huruma sababu kuna watu walikufa kwa sababu ya kuongoza huo mgomo uliokuja kushindwa.
Na ata hao madaktari walimsaliti ,kwenye shida hawakuwa naye,mgomo wa madaktari usiufananishe na migomo ya bodaboda au wasukuma mikokoteni.
Madaktari wakigoma ni majanga wala usiunge mkono,huyo ulimboka ni smart kwako tu,mi kwangu ni muhuaji tena aliyetelekezwa na madaktari wenzake
Hapa ndo utaelewa kiasi cha uelewa mdogo wa watanzania, I can't believe I'm reading this.
atakulaani wewe mwenyewe,ule mgomo wa madaktari ulisababisha vifo vya masikini wala siyo kukomoa viongozi.Pamoja na kugoma nini kimebadilika? zaidi waliambiwa waache kazi na wao wenyewe wakajirudisha kazini.
Kuna njia nyingi za kufikisha malalamiko siyo kwa mgomo,madaktari wakigoma ni mahafa makubwa sana kwa raia masikini.Ndugu yako angekufa kwa sababu ya mgomo huo ndio ungeelewa nini nasema.
Najua Tanzania na nchi nyingi za Africa tuna matatizo kwenye sekta za Afya tofauti na nchi zilizoendelea lakini lazima ujue maendeleo hayaji kwa siku moja,ulaya wameanza kuendelea toka karne ya 15,kamwe usijifananishe nao.
Cha muhimu serikali iboreshe sekta za afya lakini madaktari wanaogoma wanakomoa wananchi masikini,wenye uwezo wanaenda hospitali binafsi ,wengine ata nje ya nchi.
usilete siasa hapa angalia wanaotaabika ni hakina nani,uyo ulimboka kitendo alichofanyiwa siyo kizuri ila siwezi kumuonea huruma sababu kuna watu walikufa kwa sababu ya kuongoza huo mgomo uliokuja kushindwa.
Na ata hao madaktari walimsaliti ,kwenye shida hawakuwa naye,mgomo wa madaktari usiufananishe na migomo ya bodaboda au wasukuma mikokoteni.
Madaktari wakigoma ni majanga wala usiunge mkono,huyo ulimboka ni smart kwako tu,mi kwangu ni muhuaji tena aliyetelekezwa na madaktari wenzake
Atakuwa kapata somo hawezi fanya utoto tena kama funzo lilikuwa kubwa sana.
Nakushauri uende kanisani au msikitini ukaombe dua kwa nguvu.
Wewe unaamini kuwa wasingegoma basi watu wasingekufa, jambo ambalo siyo sahihi kabisa. Ni afadhali waligoma halafu tukajua hatuna waganga kuliko wangekuja kututibu bila kugoma ila wakatudunga sindano za sumu wagonjwa wote.
Majuzi tu umeamabiwa kuwa wanasiasa wetu wanalipwa kuliko wanasiasa wa nchi zinazotupatia misaada, je kwa nini usilalamikie hilo kama kweli unajua kuwa hatuna hela ya kulipa mishahara mikubwa?
Haya yapo kila nchi sio tz tu labda uwe hujatembea duniani. Na kama unaamini kifo ni ahadi basi usilalamike hata hao wanaotibiwa kwa uhakika watakufa tuu hata kama CT SCAN zitakuwepo kila wilaya bado kifo kitabaki palepale
kufa si ahadi japo najua ni lazima . wakati mwingine matibabu mabovu.huduma mbaya na migomo ya madaktari upelekea vifo vya wagonjwa
uyo mkuu wa kaya alijichagua mwenyewe? kama ni kiongozi wa mbaya wakupewa lawama ni nyie mnaopiga kura.
mnaokubali kupewa kofia na kanga za bure
Wewe ni nguruwe
Swali langu je gegedo linafanya kazi? Maana nasikia vijana wa msangi/ighondu/zocka waliharibu kila kitu kwa babu!
Umeshapewa ufafanuzi bado huelewi bora kukuacha tuu. Ukiona uwezo wako wa kuelewa ni mdogo usijadili mambo ya msingi utayapotosha. Kwa taarifa yako baada ya kumgomo ule kutofanikiwa vifo vya ndugu zetu watanzania vimeongezeka sio kwa kukosa huduma za madaktari bali ukosefu wa vifaa na madawa kama walivyokuwa wanapigania madaktari.