Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,411
- 85,838
Basi nimekuelewa Mpwa ila naskia BBC walisema yuko ICU sio kwamba amekufa, ila kuan taarifa zilizagaa hapa kuwa jamaa kavuta. Ok tumuombee uzima
Sio wapuuzi ndugu, ni mtangazaji wa BBC ndo alianziasha hii, nilimsikia mwenyewe saa 12:00 asubuhi. Nilikosa raha kwa kweli. Tuendelee kuomba jamani kila mtu kwa imani yake, hata wale wapagani ombeni tu mungu atawasikia.