Thanx JB.....i apreciate by the way do you know where Jason bourne is? simuoni tu kwenye hili sakata....haya ni maneno ya mwenyekiti wa MAT Dr Namala Mkopi.
Dr ulimboka anaendelea vizuri na pia hayuko kwenye coma!
Sio wapuuzi ndugu, ni mtangazaji wa BBC ndo alianziasha hii, nilimsikia mwenyewe saa 12:00 asubuhi. Nilikosa raha kwa kweli. Tuendelee kuomba jamani kila mtu kwa imani yake, hata wale wapagani ombeni tu mungu atawasikia.Kuna wapuuzi fulani tangu asubuhi walikua wanaweka taarifa za kijinga hapa, na watakufa wao wenyewe
Haya ni maneno ya mwenyekiti wa MAT Dr Namala Mkopi "Dr ulimboka anaendelea vizuri na pia hayuko kwenye coma!"