Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

Kinachofuatia kwenye haya ulosema ni Way out.......hebu pendekeza ama unavyofikiri wewe, ama inavyopaswa kuwa badala ya watu kupiga domo na kutoa matamko.
What shall the sons and daughters of the this land do...........or at least those who dare.

 
kuna kitu amelishwa huyo na anaweza potea bila kuongea chochote kile inabidi kitu kifanyike mapema ukweli ndo unapotea hivyo lets only play

Play!!? keep on playing while our fellow is under intensive care?? No!!
 
Mungu amsaidie. Nina mashaka sana na yule alisema "bado hajafa". Wanajua walichokifanya ndo maana alikuwa anashangaa kumbe hajafa!!! Nikiangalia picha nashindwa kutofautisha Tanzania na Syria.
 
Reactions: FJM
Tuwaombee madaktari wanaomhudumia ili Mungu awape hekima na maarifa katika kushiriki kazi ya Mungu wapate kuokoa maisha ya huyu jemedari. Tuongeze maombi kwa ajili ya Dr. Ulimboka, mkono wa Mungu wa uponyaji uwe juu yake. Kwa Mungu hakuna lisilowezekana! Tusikate tamaa.
 
Mkandara, kwa heshma zote ningeshukuru kama ungetoa hii hoja siku na wasaa mwingine. Timing yake is very painful to read. Dr Ulimboka ameng'olewa meno na plaizi, ameng'olewa kucha, amevunjwa mbavu, mikono, taya. Unaweza ukawa na muono tofauti kuhusu huu mgomo wa madaktari, lakini kama nilivyosema nimefadhaishwa sana na comment yako kwenye huu uzi unaongelea hali ya Dr Ulimboka kubadilika ghafla! I almost felt kama mtu kanipiga teke la tumbuno.
 
Last edited by a moderator:
What a sad news ! But let's pray and even if possible,raise funds to order the machine that machine and how long will it take to reach here and under those circumstances will our great hero be able to survive?
 
kuna tetesi kuwa hali ya Dr Ulimboka sio nzuri kwa sasa.
Tuendelee kumuombea.
Haya maelezo ya mwanajf lasikoki yanashabihiana na taarifa nilizozipata.

mnasema kuna ulinzi mkali wa wenyewe madaktari?? hao wanaomponya mnauhakika nao????? kuna yeyote kati yenu kawahii Kuangalia picha inaitwa 24????.kama ndio basi mtapata jibu nini naamanisha.....
 
Mungu aliyemponya Ayubu na magonjwa yake ndiye yeye atakaye mponya Dr Uli kwani yeye ndiye aliyachukua magonjwa yetu na kuchukua udhaifu wetu tunaimani kuwa atamponya pia Dr Uli jina la Bwana libarikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…