Dr. Ulimboka: Damu yangu iliyomwagika ikawe chachu

Katika kipindi hiki, tunaweza kujua, nani kwetu rafiki, na nani kwetu ni adui. " ASIYE UPANDE WETU, YUKO KINYUME CHETU." Kwa majibu haya, na kama kweli bado kuna watu ambao bado hawajajua kusudi la mgomo wa madaktari, na bado wana imani na taarifa za TBC, basi naamini safari ya ukombozi wa dhati iko mbali sana.
 
hata wewe utakufa tu, usijipe moyo kwa kuwa haupo hospitali. haki lazima idaiwe. hizo zingine excuse tu mnatafuta. DHAIFU
Then, we should not take any efforts kuokoa maisha ya yeyote! Mtu akiumwa aachwe afe... is that what you mean!? Very weak point!
 
Then, we should not take any efforts kuokoa maisha ya yeyote! Mtu akiumwa aachwe afe... is that what you mean!? Very weak point!

wapeni haki zao bana, msitumie wagonjwa kama ngao ya kuwatisha madokta wetu.

we are at war. vita vya fikra.

keep spinning, but it will be even worse.
 
Niia ya mazungumzo hata ichukuwe miaka 2, Jee ndio uwe gaidi na kuweka rehani na kuwaweka roho juu wagonjwa wasio na hatia. Wewe leo utafanikiwa kupatiwa mafao yako, na wale wagonjwa wanaotoka roho zao ambao ungeweza kuwatibu.

Huu simply ni ugaidi tu, na jinsi mnayowanyanyasa na kupokea t=rushwa kwenye mahospitali ndiyo maana hamuendelei na kila anaejiweza anakwenda kutibiwa nje. Nyinyi ni magaidi tu na kubwa lenu ndio hilo, sasa lijuwe maana ya kuumwa nini.

njia mbadala ni ipi?zomba jibu swali.
Ni kweli mazungumzo yanaweza kuchukua hata miaka kumi lakini ni lazima iwepo roadmap itakayohakikisha mazungumzo yataishia kwenye matokeo chanya kwa pande zote mbili.kwa nini mazungumzo yavunjike ghafla?nani alaumiwe?
 
tumekusikia daktari wetu mpendwa, damu yako lazima ilete mapinduzi ktk nchi yetu. Serikali ni wauwaji wakubwa sana
 
@
Jackbauer
what is dr?nakupa hii, mikoa mingapi wakazi wake wamekutana na yanayofanana na ya ulimboka?madai ya drs ni kutekwa kwake?damu ya ulimboka si ya ukombozi,ni ya laana kwa watz?no comfirmed point about him,why gvnt?
 
Na wewe ulipwe kila unalostahili kwa kutoa uhai wa wagonjwa wa Tanzania walio wengi na kuwakosesha haki yao ya msingi ya kuishi na kuendelea kuteseka vitandani wasijue wapi pa kutibiwa.

Kama ungekuwa kweli unawatetea Watanzania usingekimbilia nje mbio mbio kwenda kutibiwa. Ungekaa hapahapa kuonesha ujasiri wako na uyahisi yanayowasibu Watanzania kwa kuhamasisha mgomo kwa manufaa yako na wajivuni wengine wachache wanaojiona wao ni miungu watu.
Kichwa kikubwa akili kama za mende.Ungekuwa wewe ndo umefanyiwa kama ulimboka na vifaa hakuna ungekwenda wapi.Jiulize wangapi wenye matatizo ya figo kushindwa fanya kazi wanakufa kwasababu ya uhaba wa vifaa. hata xray zinatushinda? ulaaniwe
 
DR. naamini MUNGU atakuwa nawe uendapo,ulichokuwa unakipigania co 2 haki kwa madaktari bali pia za watanzania kwan bila vifaa na huduma muhimu mahospitalini hakuna afya bora.iweje wanasiasa walipwe pesa nyingi hivyo wakati watu muhimu kama madaktari wanaofanya kazi ngumu kama hiyo wanashindwa kuboreshewa mazingira ya kufanyia kazi?
 
Dkt Ulimboka nakutakia kila la kheri uko uendako upone araka urudi kuendeleza mapambano
 
Abudiel sijui yule jamaa aliyejitambulisha kwa ulimboka pale leaders club taarifa zinasema nae alikimbizwa huko SA ALIKO ULIMBOKA. Usalama wa ulimboka sina imani kabisa.
 
Watu wengine bhana,huyu Ulimboka ni alama na ishara ya pambazuko jipya lisiloogopa watawla wa mpito.Heri kuwa uchi wa nyama kuliko kuwa uchi wa akili.Lazima ifikie wachache wafe kwa maslahi na amani ya wengi.Big up sana Ulimboka ulichokisema ni chachu na petrol ya kuchochea mabadiliko ya kweli na ukombozi thabiti.
 
@
Jackbauer
what is dr?nakupa hii, mikoa mingapi wakazi wake wamekutana na yanayofanana na ya ulimboka?madai ya drs ni kutekwa kwake?damu ya ulimboka si ya ukombozi,ni ya laana kwa watz?no comfirmed point about him,why gvnt?

edit post yako ueleweke mkuu
 
Muda wa ukombozi umefika harakati mwanzo mwisho mpaka kieleweke!
 
sio kugoma tu mi naona waache kabisa kazi hii na watafute kazi nyingine watakuwa wameikomoa serikari hakuna hasiye jua kama wanadai mambo ya msingi sana.
 
Kichwa kikubwa akili kama za mende.Ungekuwa wewe ndo umefanyiwa kama ulimboka na vifaa hakuna ungekwenda wapi.Jiulize wangapi wenye matatizo ya figo kushindwa fanya kazi wanakufa kwasababu ya uhaba wa vifaa. hata xray zinatushinda? ulaaniwe

Sasa si angekaa hapahapa afikishe ujumbe na awe muhanga kwa kutetea haki. Yeye akatibiwe nje awaache walalahoi hata hayo matibabu kidogo hawayapati. Kama si unafik ni nini hicho?
 
Hivi ingekuwaje kama madaktari wangeendelea kuwa kazini ila wagonjwa wanakufa kwa sababu hakuna madawa na vifaa pia hali mbaya za hospitali?
Wengi wanasema kuwa mgomo ndio umeua watu ila tukumbuke bila kugoma hapatakuwa na maendeleo kwenye hospital zetu.
Kama serikali ingekuwa inacare watu wake ingepeleka vifaa na madawa kwenye hospital,pili isingetegemea MNH ingekuwa na hospital kubwa nchi nzima ili kupunguza wingi wa wagonjwa.

The problem is kuna watu wanashindwa kuwa na critical thinking kwenye suala la mgomo wa madaktari..sasa waanfikiri kuumizwa kwa Dr ulimboka ni sahiihi na anastahili..wanasahau kwamba amekuwa akistruggle na madaktari for the good health of the mass ambamo mimi na yeye ndiyo tunaangukia humo kwenye hilo kundi...
tuko pamoja na tunakutakia afya njema.

Ila na kingine cha msingi ni usalama wake akiwa huko manake minyang'au yaweza kumfuata hata huko kwa kutaka kumdhuru.
Mungu atakutangulia tu na dua zetu zipo kwa ajili yako.You are a grain of wheat in the field ambayo ikichipua italisha wengi na kuokopa wengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom