Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yale yaleeee
Acheni ujinga,kumtaja Ighondu yeye mwenyewe kwa taarifa iliyosainiwa na mwasheria wake siyo jambo dogo!Kuna watu mna vichwa panzi humu.
kimya chako hakijatutendea haki wapenda AMANI...nilikuombea kwa MUNGU upone haraka Ili uwataje waliokudhuru je, Dr ulimboka unajua kimya chako kimefanya gazeti nilipendalo MWANAHILISI lifungiwe...!
Hata lisingeripoti habari ile lingefungiwa tu, maana lilikuwa linachukuliwa tyming, ila wakati utasema.kimya chako hakijatutendea haki wapenda AMANI...nilikuombea kwa MUNGU upone haraka Ili uwataje waliokudhuru je, Dr ulimboka unajua kimya chako kimefanya gazeti nilipendalo MWANAHILISI lifungiwe...!
Inawezekana lakini...
kwa hiyo wewe ni mtu wa matukio. sio analytical? yaani wewe ni kama za mdundiko....ukipita mdundiko, hata kama ulikuwa unapika unaacha na kufuata mdundiko... kama ni kweli taarifa ya ulimboka itasitisha suala la uchomaji makanisa...wewe unapenda yaendelewe kuchomwa? jiulize serikali gani hiyo inaweza kujianika yenyewe? hata marekani wanajianika wenyewe baada ya kupita miongo kadhaa.....na matukio kama ya babu wa loliondo ni sababu ya ushabiki wa watz usiokuwa na maantiki mpaka tukapeleka ndugu na jamaa bila kutafakari...ushabiki ni mbaya....hata kama taarifa zinakuja kumi...el ninho, barlow, askofu ampiga ngumi mkwewe,au waziri fulani ashikwa ugoni au ampiga ngumi mke wake kama ni watu wa kuchukua hatua utajua hatua gani za kuchukua...na lipi lenye priority hata kama ni baada ya miaka 5....tatizo letu ni ushabiki tu usio na mantiki yoyoteYani..sasa hivi hot news ni Waislam na uchomaji wa makanisa...alichelewa sana maskini ys Mungu...Tumeshasahau siku nyingi, hii nchi ni ya matukio ya kimsimu so usipochangamkia tukio lako litasahaulika hivi hivi.