sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
amechelewa sana, angeongea mapema heshima yake ingekuwa juu kinoma
Wakati mwingine tuwe wakweli jamani watanzania tumezoea kukaa kwenye keyboard na kushangaa tuuuuuu......haya huyo Ulimboka angetoa hiyo ripoti mapema nani angefanya nini??? Zaidi sana tungekuja humu ndani na kubaki na Aaaah..........Eeeeeeeeeeh ...............Kumbe!!!!!!.........mwanahalisi walitoa na wakafungiwa wewe Nazjaz umewasaidia nini mpaka sasa hivi??...............tuache unafiki labda wataacha kucheza na akili zetu!
Last edited by a moderator: