Dr Tulia Ackson Miaka yote aikuwa wapi?

Dr Tulia Ackson Miaka yote aikuwa wapi?

Kama wewe una uwezo wa kumfanya asishinde basi Fanya kama huna kaa kimya pambana na hali yako.
 
Hatukatai yeye kugombea ubunge , bali tunachokataa ni mbinu zake za kujifanya eti leo anafadhili ngoma za jadi , Huku akiwa na mchakato nyuma ya pazia .

Kila mtu ana mbinu zake
Wengine kuhudhuria harusi na mazishi yote jimboni ,
Wengine kusali makanisa na misitini yote jimboni kwa miaka 4 nk.
 
Ngoma nyingi huko kwa wanyaki zimehusishwa na mambo ya uganga na mambo ya kishirikina. Kwa hiyo huyu msomi Acks amechagua kutegemea misukule? Nilipata kusikia ni mcha Mungu sana!
Nakuheshimu lakini kwa ulichoandika sio busara kukiacha kipite hivihivi. SIO SAHIHI KABISA KWAMBA NGOMA ZA KINYAKYUSA - Mang'oma, mapenenga, magosi, mababatoni, syobhela, kituli, nk eti yana uhusiano na imani za ushirikina. BIG NO ndugu.
Mashindano ya ngoma hizo, hususani Mapalano huwa na ushindani mkubwa sana kwa wanyakyusa na huambambatana na vioja/vituko vingi vya kufurahisha. Kama ilivyo kwa soka, ushindani wa mang'oma/mapalano ni mkubwa sana katika kabila hili na kwamba wakati wa muda wa mapalano/kushindana, mnyakyusa asilia hawezi kwenda kuangalia Derby ya Manu vs Man city. Atakwenda kuangalia mapalano.
Hivyo, ili kundi la ngoma lishinde ni lazima lioneshe umahiri mkubwa katika kusakata mang'oma na kamwe huwezi kupima umahiri huo kwa darubini za kichawi; ni lazima uoneshe uwezo.
Kama umenielewa japo kidoogooooo, hebu sema samahani kaka, nililenga tu kuchokoza ili niongezewe uelewa wa msingi wa utamaduni wa ngoma za kinyaki.
 
Ngoma nyingi huko kwa wanyaki zimehusishwa na mambo ya uganga na mambo ya kishirikina. Kwa hiyo huyu msomi Acks amechagua kutegemea misukule? Nilipata kusikia ni mcha Mungu sana!
Labda mungu wa lumumba....kwa matendo na tabia zke bungeni sio mcha mungu ni mcha shetwani
 
Fanyeni makosa yote ,mnayoweza kufanya lkn sio hili la kumpa ubunge huyu dada.
 
Tulichokuwa tunauliza sasa kimeanza kupata majibu Mbeya mjini .
 
Mie namwona hafai kabisa! wana rungwe msiwe kama wana Chemba au Mtera.
Wewe unaona mwambigija ndie anafaa.?
Mbona Mr Sugu aliingia kwa gia ya kuendeleza Hiphop Mbeya na hatukusikia yote hayo,na kuna wengine wamekuwa maarufu kwa kutukana viongozi,mwache Tulia atulie na amang'oma yake.Hata asipoleta hiyo mipalaano Tu;ia atakuwa mbunge tu .Mambo ya watu wa CCm waachie wenyewe kama vile mambo ya Chadema mlivyoachiwa wenyewe kikolo.
 
Wewe unaona mwambigija ndie anafaa.?
Mkuu chochote kilichoambatana na ccm ni laana , angalia Mwigulu badala ya kufanya kazi za waziri wa mambo ya ndani anafanya kazi za katibu mwenezi wa ccm !
 
Baada ya kumkimbiza huku ameanza kunyemelea jimbo la Mbeya Mjini , Nampa ushauri wa bure , Mbeya Mjini tayari alishachaguliwa Mbunge wa Milele aitwaye Joseph Mbilinyi .
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Mkuu chochote kilichoambatana na ccm ni laana , angalia Mwigulu badala ya kufanya kazi za waziri wa mambo ya ndani anafanya kazi za katibu mwenezi wa ccm !
Kinachoambatana na chadema ndio laana kubwa kabisa
 
Baada ya kumkimbiza huku ameanza kunyemelea jimbo la Mbeya Mjini , Nampa ushauri wa bure , Mbeya Mjini tayari alishachaguliwa Mbunge wa Milele aitwaye Joseph Mbilinyi .
Wewe mbona hugombei ? Kazi ya kuwachambulia wenzio huyu hafai , huyu hivi , ingia kwenye kinyang'anyiro , tukuone ukidume wako.
 
Back
Top Bottom