Dr Tulia Ackson Miaka yote aikuwa wapi?

Dr Tulia Ackson Miaka yote aikuwa wapi?

Wewe mbona hugombei ? Kazi ya kuwachambulia wenzio huyu hafai , huyu hivi , ingia kwenye kinyang'anyiro , tukuone ukidume wako.
Endelea kutega sikio hapa hapa jf
 
Mkuu, Mimi nimishamuelewa tangu muda na nimekuwa nikiwahamasiha watu kibao Wampuuze! Huyu Mshenzi kweli, Jana kakatiza Mitaa ya home Ushirika anakwenda huko Bush kama kawaida kuwarubuni wazee huko Vijijini. Nilitaka 'Nkuntunya nimbighobhigo' bahati yake mbele yake walimtangulia mamwela! Ila anajisumbua hatuwezi kufanya Ujinga kama huu wana Rungwe.

Nyie wanyakyusa hizo siasa zenu za maji taka ndizo zinazowafanya muendelee kushika mkia. Badala ya kufurahia KWAMBA mmempata mtu influential, pia mwenye networks na exposure, mnaongea MAMBO yasiyo eleweka. Jifunzeni KUTUMIA talents mbalimbali kujiletea maendeleo YENU. Jifunze NAMNA ya kutumia elites, business people, influential people to form a composite team for betterment of area. Siasa za majitaka hazita wafikisha popote.
 
Lowassa ilikuwa anafanya hivyo baada ya kupitishwa na chadema,au mwaka gani? Kingine,yeye lowassa alikuwa ni mbunge bhana,kwahyo huenda aliyafanya hayo kutumia nafasi hiyo,ila sidhani kama amemfikia dokta.

Hukumbuki alivyokuwa anawasonga makundi mbalimbali yaje kwake eti yakimshauri agombee URAIS. Kila siku ALIKUWA akipokea maandamano. Mara wanafunzi udom waendesha bodaboda nk
 
Sijawahi kuona mbunge mwanamke Mbeya, hasa unyakyusani. Ni vigumu kuchaguliwa na itakuwa record ya ajabu sana.

Unkikulu ni lyabhi lyake itughale nkyeni mbanyambala. Anguswugha fijo.
 
Nyie wanyakyusa hizo siasa zenu za maji taka ndizo zinazowafanya muendelee kushika mkia. Badala ya kufurahia KWAMBA mmempata mtu influential, pia mwenye networks na exposure, mnaongea MAMBO yasiyo eleweka. Jifunzeni KUTUMIA talents mbalimbali kujiletea maendeleo YENU. Jifunze NAMNA ya kutumia elites, business people, influential people to form a composite team for betterment of area. Siasa za majitaka hazita wafikisha popote.
Nskubaliana ksbisa na msoni haya.
Wanyakyusa TUAMKE.
Panya anayejamata panya ndio wa kumtuza.
Huyo Mwambigija na hata Sauli ni magharasha.
 
Ndugu wana TZ, ujinga huu wakipinga kila kitu kwa dhana umezidi sana hivi sasa, hata inafikia kuleta uadui pasipo stahili.
Wana kyela ni watu wasomi na wanajitambua, ukifika wakati wa uchaguzi ni lazima muangalie maslahi ya jimbo lenu kwanza alafu mtu na chama chake baadaye. Nyinyi wajibu wenu ni kumchagua atakaye mifaa kutimiza shida ya jimbo lenu.

Kwa sasa atakaye leta pesa za ngoma ama misaada yoyote wajibu wenu ni kuupokea kwa maslahi ya wengi.
kwani hiyo misaada anayoleta ina mikataba ya kumchagua? Au kalazimishwa kuleta, sii hiari yake, nanyi ni hiara yenu kumchagua anayemifaa.

Hizi siasa chafu zisizo na tija zinarudisha maendeleo. Tena ningemishauri mungemueleza shida zenu atumie hii fursa aliyokuwa nayo ili ilete maendeleo jimboni, hizo pesa au miradi atakayoleta ni baadhi ya kodi zenu, hamna haja ya kumshukuru ama kumpa kura akisimama.
 
Sijawahi kuona mbunge mwanamke Mbeya, hasa unyakyusani. Ni vigumu kuchaguliwa na itakuwa record ya ajabu sana.

Unkikulu ni lyabhi lyake itughale nkyeni mbanyambala. Anguswugha fijo.
Mambo yamepitwa na wakati kabisa hayo, fungueni macho muwe na maendeleo, mbona nchi za wenzetu mfano uingereza wanaongozwa na malkia na wanamaendeleo na tunaomba hata misaada kwao
 
Huyu bidada hata akipata kura mbili za ubunge atatangazwa kuwa ndiye mshindi, yetu macho na masikio....
 
Nskubaliana ksbisa na msoni haya.
Wanyakyusa TUAMKE.
Panya anayejamata panya ndio wa kumtuza.
Huyo Mwambigija na hata Sauli ni magharasha.

Wenzenu siku hizi hawahitaji chama. Wanataka maendeleo. Mkimpata influential figures, capitalise them. Forget hayo mavyama won't bring you anywhere. You need a team of brilliant guys led by influential people to move.
 
Wenzenu siku hizi hawahitaji chama. Wanataka maendeleo. Mkimpata influential figures, capitalise them. Forget hayo mavyama won't bring you anywhere. You need a team of brilliant guys led by influential people to move.
Ni maendeleo gani anaweza kukuletea jimboni kwako huyo influential figure kama uko jimboni ambako kuna Shule, Hospital, Maji, Umeme na Barabara kama Vunjo?
 
Wakuu natanguliza salamu ,

Naomba kuweka wazi kabisa kwamba mimi ni mwenyeji wa Mkoa wa Mbeya , Wilaya ya Kyela , kijiji cha Kajunjumele ,utamaduni wa Kyela na Rungwe unashabihiiana kwa kiasi kikubwa sana , wakazi wengi wa Wilaya hii ni Wanyakyusa , japo kuna makabila mengine.

Tunazo ngoma za asili ambazo kwa uchache ni Mang'oma , Ipenenga , Samba nk , na tumecheza ngoma hizi kwa miaka mingi bila msaada wa hela ama chochote kutoka kwa yeyote , kama kuna aliyetoa chochote basi alitoa kama vile PDG Ndama Mutoto wa ng'ombe anavyowapa wanamuziki wa FM ACADEMIA .

Sasa cha kushangaza mwaka huu amezuka mfadhili wa ngoma za asili aitwaye Tulia Ackson , Huyu tetesi zinadokeza kwamba lengo lake si kufadhili ngoma za asili , maana alikuwepo miaka yote na alikuwa na uwezo kama huu wa leo , lakini hakufanya hivi , taarifa zinaonyesha kwamba amelenga kurubuni wakazi wa Rungwe ili achaguliwe mbunge uchaguzi ujao .

Mbinu hii ya kizamani haikubaliki , na naomba kuchukua nafasi hii kuwaasa wana Rungwe kumuogopa huyu mama kama ukoma .

Dr Tulia aliyeingia bungeni na kubebwa kwa mbeleko ya chuma hadi kwenye unaibu spika , amekuwa mstari wa mbele kudhalilisha na kunyanyasa wabunge wa upinzani , amezima mijadala mingi yenye tija ili kuokoa chama chake , huyu hawezi kuwa msaada wa Akina Mama wauza ndizi na maziwa wa ushirika au Kiwira , hafai hata kuwa Mwenyekiti wa kijiji cha Makandana , hafai .

Dr Ngunangwa aliwahi kuwauliza waliokuwa wanajipitisha kwenye jimbo lake huko Njombe na kutoa zawadi za baiskeli nk , kwamba WALIKWINA ? yaani kwa kiswahili , MIAKA YOTE WALIKUWA WAPI ?

Nakala ya uzi huu imfikie JOHN MWAMBIGIJA .
Huyu Dr. Tulia ni msichana mdogo na hakuwapo mda mrefu kwenye uongozi, pili hajawahi kuwa na uwezo wa kufadhili kitu chochote. Amemaliza shule siyo mda mrefu hivyo ni kama chipukizi. Hivyo uliyo yasema umamsingizia. Ila anauwezo mkubwa wauongozi, Tanzania nzima tuone tumependelewa kuwa na mwana mama kama huyu! Sasa ole wao wanao mnyanyapaa! Huyo ni lulu kubwa. Maana kama nyinyi hamumtaki Taifa litamchukuwa achaguliwe na raisi. Mnaomkataa mtakuwa wenye hasara. Hivyo nendeni mkambembeleze ni turufu huyu mwana mama.
 
Nyie wanyakyusa hizo siasa zenu za maji taka ndizo zinazowafanya muendelee kushika mkia. Badala ya kufurahia KWAMBA mmempata mtu influential, pia mwenye networks na exposure, mnaongea MAMBO yasiyo eleweka. Jifunzeni KUTUMIA talents mbalimbali kujiletea maendeleo YENU. Jifunze NAMNA ya kutumia elites, business people, influential people to form a composite team for betterment of area. Siasa za majitaka hazita wafikisha popote.
Kwa ilivyofikia kwa sasa Hakuna namna utamtenganisha Dr Tulia na Ubunge wa Tukuyu mjini ili aje kua Spika wa Bunge la12 na hakuna Mtu wa kutoshana naye kwa sasa labda aanguke toka sayari nyingine.
 
Tutalinabhanyakyusya bha hovyo kangi uli ughwe. Nyoko kweli ughwe...... utwe tukubhopa ni tulia / Hakuna munyakyusa wa hvyo kama wewe. Sisi tunaenda na Tulia
 
Wakuu natanguliza salamu ,

Naomba kuweka wazi kabisa kwamba mimi ni mwenyeji wa Mkoa wa Mbeya , Wilaya ya Kyela , kijiji cha Kajunjumele ,utamaduni wa Kyela na Rungwe unashabihiiana kwa kiasi kikubwa sana , wakazi wengi wa Wilaya hii ni Wanyakyusa , japo kuna makabila mengine.

Tunazo ngoma za asili ambazo kwa uchache ni Mang'oma , Ipenenga , Samba nk , na tumecheza ngoma hizi kwa miaka mingi bila msaada wa hela ama chochote kutoka kwa yeyote , kama kuna aliyetoa chochote basi alitoa kama vile PDG Ndama Mutoto wa ng'ombe anavyowapa wanamuziki wa FM ACADEMIA .

Sasa cha kushangaza mwaka huu amezuka mfadhili wa ngoma za asili aitwaye Tulia Ackson , Huyu tetesi zinadokeza kwamba lengo lake si kufadhili ngoma za asili , maana alikuwepo miaka yote na alikuwa na uwezo kama huu wa leo , lakini hakufanya hivi , taarifa zinaonyesha kwamba amelenga kurubuni wakazi wa Rungwe ili achaguliwe mbunge uchaguzi ujao .

Mbinu hii ya kizamani haikubaliki , na naomba kuchukua nafasi hii kuwaasa wana Rungwe kumuogopa huyu mama kama ukoma .

Dr Tulia aliyeingia bungeni na kubebwa kwa mbeleko ya chuma hadi kwenye unaibu spika , amekuwa mstari wa mbele kudhalilisha na kunyanyasa wabunge wa upinzani , amezima mijadala mingi yenye tija ili kuokoa chama chake , huyu hawezi kuwa msaada wa Akina Mama wauza ndizi na maziwa wa ushirika au Kiwira , hafai hata kuwa Mwenyekiti wa kijiji cha Makandana , hafai .

Dr Ngunangwa aliwahi kuwauliza waliokuwa wanajipitisha kwenye jimbo lake huko Njombe na kutoa zawadi za baiskeli nk , kwamba WALIKWINA ? yaani kwa kiswahili , MIAKA YOTE WALIKUWA WAPI ?

Nakala ya uzi huu imfikie JOHN MWAMBIGIJA .
MAELEZO YAAAKO YOOOTE NI KUJIHAMI KISIASA KWA MWAMBIGHIJA, TULIA ANAFAAA SANA HATA ASIPOFANYA HIYO HISANI YA KUDHAMINI NGOMA ZA ASILI, MTU MWENYE background YA KUJALI ASILIA YAKE ANANAFASI KUBWA YA KUJUA MATATIZO YA WATU KULIKO HUYO UMTAJAYE WEW...... MM KWETU MASUKULU KWA MAREHEM Jackson Mwakibwili,,,,,,, namuelewa sana Tulia Akson kuliko udhanivyo na atachukua tu. Imewashnda chadema kafungueni biashara
 
Ni maendeleo gani anaweza kukuletea jimboni kwako huyo influential figure kama uko jimboni ambako kuna Shule, Hospital, Maji, Umeme na Barabara kama Vunjo?

Kaka NAOMBA utumie vizuri uwezo wako wa kufikiri.
Fananisha kuna hospitali lkn ni dhofu bin khali. Unaweza fananisha hospitali ya Igogwe na kcmc? Miaka 20+ iliyopita igogwe ilikuwa ZAIDI ya KCMC. Lkn sasa Igogwe imekufa kabisa. Rungwe kuna majina tu ya hospitali lkn hamna hospitali. Ili ni ENEO moja tu. Kuna mengine mengi ya kuyatolea mfano, ila MUDA si rafiki.
Nadhani utakuwa umeelewa umuhimu wa influence na lobbying.
 
Tutalinabhanyakyusya bha hovyo kangi uli ughwe. Nyoko kweli ughwe...... utwe tukubhopa ni tulia / Hakuna munyakyusa wa hvyo kama wewe. Sisi tunaenda na Tulia
Amahelu ga fiki kangi nkamu ?
 
Nskubaliana ksbisa na msoni haya.
Wanyakyusa TUAMKE.
Panya anayejamata panya ndio wa kumtuza.
Huyo Mwambigija na hata Sauli ni magharasha.
Akina Dr Mwakyusa walifanya nini Rungwe ? CCM hii iliyoshindwa kwa miaka 60 usitegemee ifanye lolote , nenda Kyela ukaone jinsi msomi Mwakyembe anavyoiteketeza , Mango Tree imekwenda hivi hivi tunaona !
 
Back
Top Bottom