Weeweee Dr slaa haingii kwa lowasa. Nani atampa urasi nyumba yake imemshinda ataongozaje nchi? Kwanza magumu. Mkanda mdini visa do hela ya chama anakula na mbowe wachagga hawa nani atawapa nchi
Wana jamvi matokeo tajwa hapo juu ni kura mlizo piga kuamua nani anafaa kuwa rais wa tanzania 2015,matokeo yamempa ushindi katibu mkuu wa chadema kuwa anafaa kuwa rais wetu ajae hii ni kutokana na kura zenu wana jf,hongereni kwa chaguo sahihi
Weeweee Dr slaa haingii kwa lowasa. Nani atampa urasi nyumba yake imemshinda ataongozaje nchi? Kwanza magumu. Mkanda mdini visa do hela ya chama anakula na mbowe wachagga hawa nani atawapa nchi
mleta mada naona mpo kundi moja na joka la mdmu a.k.a membe lunalosubri kuoteshwa....kura za kna yercko na bensaanane a.k.a secretary wa membe ila 2015 rais ni lowasa take t frm me
weeweee dr slaa haingii kwa lowasa. Nani atampa urasi nyumba yake imemshinda ataongozaje nchi? Kwanza magumu. Mkanda mdini visa do hela ya chama anakula na mbowe wachagga hawa nani atawapa nchi
Kumbe siku hizi kuzini na kuiba wake za watu ni umakini sana. Ewe Mungu ulipige hilo parapanda maana dunia ya sasa imejaa ufedhali maana mbaya sasa ni mwema na kinyume chake ni kweli
Kumbe siku hizi kuzini na kuiba wake za watu ni umakini sana. Ewe Mungu ulipige hilo parapanda maana dunia ya sasa imejaa ufedhali maana mbaya sasa ni mwema na kinyume chake ni kweli
Mkuu hapo umeshamchagua Dk. Slaa. Mtoa mada anataka jina tu. Comment yako umemtaja Dk. Slaa hivyo kura yako tunampa Dk. Slaa. Pole kwakutoelewa topic umetusaidia ushindi. hahahaaaa