Nivizuri kumuona Doctor kabla ujameza dawa, na Taifa langu linasumbuliwa na matati mengi , mara ufisadi, ujangili, mizigo,magamba. Kwa ujumla ni vigumu kumpatia dawa huyu mgonjwa Tanzania bila kupata vipimo na ushauri fasaa toka kwa Doctor.
Doctor Slaa Taifa linakuitaji.