TETEA WATU
New Member
- May 22, 2011
- 4
- 1
Mkuu wetu vipi siku ulizo wapa madiwani wa Arusha hazijaisha tu kila siku unazidi kujidhalilisha mana mwenyekiti anakutumia ipasavyo kama vuvuzela angalia unajidhalilisha ili uchuje kama kitenge cha kaniki mkuu jiangalie sana unanyonya mambo kama dodoki bila kufanya utafiti wa kina, na ripoti za ujanja ujanja za kina Kigaila na Mrema wanalinda matumbo yao na sio uhalisia wabunge wako wanajihami.
Nawe bila kufanya utafiti unakurupuka vipi sasa mbona kimya au mkakati ulivyoambiwa uwe unasikika kwenye vyombo vya habari kila mara sio kuropoka hovyo bila utafiti wowote ni kujidhalilisha sana,wabunge wako wanajiona wao wako sahihi kila mara zunguka sehemu nyingi siyo kudanganywa na ripoti za kinafiki na majungu ya kina benson wagombea shindwa wamechoka hawana lolote mnatengeneza mazingira ya vijana wengi kurudi ccm na vyama vingine jitathimini sana kiongozi wangu siyo kukurupuka
Nawe bila kufanya utafiti unakurupuka vipi sasa mbona kimya au mkakati ulivyoambiwa uwe unasikika kwenye vyombo vya habari kila mara sio kuropoka hovyo bila utafiti wowote ni kujidhalilisha sana,wabunge wako wanajiona wao wako sahihi kila mara zunguka sehemu nyingi siyo kudanganywa na ripoti za kinafiki na majungu ya kina benson wagombea shindwa wamechoka hawana lolote mnatengeneza mazingira ya vijana wengi kurudi ccm na vyama vingine jitathimini sana kiongozi wangu siyo kukurupuka