Dr Slaa vipi siku tatu hazijaisha

Dr Slaa vipi siku tatu hazijaisha

Kwa akili hii hata baba yako you do call him names .Hii si tabia ya Watanzania sisi kuwakosea heshima watu wenye heshima zao .Kilaza mkubwa wacha niishie hapa .
Naona mtoa mada kaikimbia post yake mwenyewe! Nape naye anatakiwa kufanya sorting ya watu kabla hajawatuma kuchangia humu.
 
Padri katulia kimya anacheza na Arusha! Awatimue aone kama hawajaumbuka yeye na magwanda wenzake. Padri Slaa uwe unatumia na akili zako wakati mwingine na sio kufuata maneno ya Lema na Mbowe
 
du!!!!! lakini ashauriwe awe makini sana na matamko yake holela bwana, kila siku anaamuka na tamko jipya la uongo.
 
Back
Top Bottom