Dr. Slaa tolea maelezo hii picha tafadhali

Dr. Slaa tolea maelezo hii picha tafadhali

Status
Not open for further replies.
Ingine hiyo hapo mwambie Mbowe atoe maelezo

images

Inaonekana wewe ni ng'aa kwenye siasa za Tanzania,hao walio kaa na kikwete huwajui?na hujui hicho kilikuwa ni kikao kinacho husu nini?
 
Dr slaa kwa picha hii njoo uitolee maelezo kama jana ulivyopata ujasili wa kujieleza,husione aibu njoo utueleze watanzania maana wewe ni member wa jf
 
Kwa jicho la kawaida tu wala sio la ziada, body language ya Dr. Slaa haipo na Mwigulu wala Prof. hivyo ni kipande cha kupachikwa, photoshop!

Mtahangaika na kukanusha sana eleweni kuwa ulimwengu wa leo siyo wa kudanganyana,subirini watu wanaendelea kuzifichua siri zake zoote
 
ile sheria itakapochukua mkondo wake msilalamikie serikali ya CCM.


Twende na Dr. Magufuli ikulu.

Hakuna mtanzania wa kudanganyika tena kuichagua ccm,nipo tayari kukichagua jiwe kuliko mgombea wa ccm
 
Dr umewaumbua sana. Ila kina sie tusingeyajua. Tunakushkuru sana baba. Fisadi hakanyagi ikulu.
 
We ni lofa sana,sasa hapo yupo na familia yake?yeye kasema yeye na familia yake walikua wanakula mihogo.Sasa Mwigulu na Lipumba ni familia ya Dr.W.Slaa ? mbona mnajitoa hufahamu enyi nyumbu wa serengeti?
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa!! Mr Muhogo iv bado yupo bongo? au amesha kwea pipa kwenda kula mihogo ya kiwango ulaya
 
Teh Teh Bavicha hoi.....! Dr.W.Slaa itisha press umjibu Mungi ulipo kuwa hapo mihogo ulikuwa umeiweka wapi...
 
Last edited by a moderator:
Hiyo wapi walikua du,nimekubali usaliti mbaya yaani huyu mzee na lipumba leo meza moja na Mwigulu hii kali
 
We ni lofa sana,sasa hapo yupo na familia yake?yeye kasema yeye na familia yake walikua wanakula mihogo.Sasa Mwigulu na Lipumba ni familia ya Dr.W.Slaa ? mbona mnajitoa hufahamu enyi nyumbu wa serengeti?

Slaa anapenda kula mihogo tu....2010 alisema akienda ikulu wafanyakazi wa ikulu na yeye watakula mihogo....halafu Slaa hajawahi kupigika kitaani kiivyo...baada ya upadre kaingia kwenye siasa ..toka 1995 mbunge hiyo mihogo kama alikula ni kwa upenzi wake tu......
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom