Dr. Slaa tolea maelezo hii picha tafadhali

Dr. Slaa tolea maelezo hii picha tafadhali

Status
Not open for further replies.
Amekwambia amefuatwa na watu wa vyama zaidi ya vyama 5. Sasa unataka maelezo gani?
 
Pale ambapo "malaika* anakataa kujenga ushirikiano na "shetani" wakati huohuo anakunywa "chai" na "jini muovu"
 
Photo shop
Khaa!! Tena hata mtengenezaji hajui kazi yake. Ajiandae na segerea
A%20S%20shade.gif
 
Mmh!!! Uchaguzi mwaka huu ni wa kipekee sana kuna sera,kutukanana na kuumbuana.
 
Bora lowassa anayekubali kuwa yy ni tajiri kulko mnafiki slaa anayedhani kutudanganya anakula mihogo ndio atapata uruma yetu.
 
na serena pale alikula mihogo ? je mihogo ya serena ni sh ngapi?

Shilingi 50 ya kitanzania.
Serena wana mihogo ya bei ya chini sana tanzania, nashangaa watu mnakula mihogo ya mtaani kipande shilingi 200 wakati serena ni shilingi 50.

Matangazo yote jana yameghaeimu shilingi 2000 ya kitanzania, slaa ni masikini na ana uchungu na hii nchi toka moyoni.

Suti ya jana inaghaeimu 1500 pale kaeume, slaa anamaanisha anachokisema.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom