Dr. Slaa tolea maelezo hii picha tafadhali

Dr. Slaa tolea maelezo hii picha tafadhali

Status
Not open for further replies.
Halafu huyu weapon asituzingue alikuwa mgombea wa chadema lakini Lowasa ni mgombea wa ukawa kutokea Chadema sijui amekula mihogo ya wapi huyu.
 
Kuna Wakati Mwigulu aliwahi sema "anamchukia Dr Slaa zaidi ya shetani" Sasa ni kitu gani kimewakutanisha ??!!
Sishangai, maana kwenye siasa hakuna adui wa kudumu bali kuna maslahi ya kudumu. Kwani ulitegemea siku moja Lowassa angewakilisha upinzani na kutoa salamu ya "Peopleeeeeeeee's"?...
 
Mwigilu kabla NA baada ya kura za MAONI za urais ndani ya ccm kafuga MIDEVU KAMA OSAMA HAPA CYAONI LABDA SIKU NYINGI ZILIZOPITA LAKINI YULE DR.SLAA NI WA JANA .VIPI HAPO UONGO AU UKWELI? UKAWA LIENI POLEPOLE HUKU MKISUBIRI MPASUKO. CYBERCRIME IS WITH YOU!!!!!
 
Waswahili wanasema, wekeni akiba ya maneno.

attachment.php
images
 
Slaa ni mwana Falsafa ndugu.
Anaposema nakula mihogo hana maana ya mihogo moja kwa moja.
Jaribuni kujifikirisha enyi kizazi cha leo.

Usihangaike na ma.. Mkapa hakukosea! kwa sababu watu wa hivyo hawana upeo mkubwa! ukichukua jiwe ukalipaka rangi likafanana na embe wataliita embe hahaaa eti UKAWA wakati bunge la katiba liliisha na walilikacha.
 
Aende zake mula mihogo anaweza kulipia vituo vitatu vya kurushia matangazo (live) alisha poteza mvuto yeye hajui tu
 
Hivi Padri mstaafu unakuwa na chuki hivyo?,kweli kwa Mungu tutakosa cha kujitetea.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom