We ni lofa sana,sasa hapo yupo na familia yake?yeye kasema yeye na familia yake walikua wanakula mihogo.Sasa Mwigulu na Lipumba ni familia ya Dr.W.Slaa ? mbona mnajitoa hufahamu enyi nyumbu wa serengeti?
| Leo Jumatano Februari 4, 2015, rais huyo wa Ujerumani alikutana na viongozi wa vyama vya siasa, na asasi za kiraia na kufanya nao mazungumzo wakati wa chai aliyowaandalia viongozi hao kwenye hoteli hoteli ya Hyatt, Regency Hotel. Kisha alielekea bandarini na kupanda boti kuelekea Zanzibar. Anatarjiwa pia kitembelea mbuga za wanyama huko Arusha kabla ya kurejea nyumbani |
|
| Gauck, akisalimiana na mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani visiwani Zanzibar, CUF, Profesa Ibrahim Haruna Lipumba |
|
| Rais Gauck, akisalimiana na katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani Tanzania bara, CHADEMA, Dkt. Wilbroad Slaa |
asante mkuu kwa taharifa sasa ndio tunaanza kuelewa,
Tuache ushabiki, hata kama hatumpendi Dk. Slaa, au katukwaza lakini ukweli lazima tuuseme. Kwa kuangalia tu, utagundua hii picha ni ya Prof. Lipumba na Mwigulu Nchemba. Dk. Slaa amepachikwa katikati yao, na ninadhani hiyo picha yake ina uhusiano mkubwa na picha hizi hapa chini, kwani zimepigwa kutoka kamera moja na angle zinazoshabihiana. Hata mavazi ni yale yale, labda kama mniambie alipotoka hapa alielekea kwenye sherehe...
View attachment 282938
View attachment 282939
Bishop Hiluka,Tuache ushabiki, hata kama hatumpendi Dk. Slaa, au katukwaza lakini ukweli lazima tuuseme. Kwa kuangalia tu, utagundua hii picha ni ya Prof. Lipumba na Mwigulu Nchemba. Dk. Slaa amepachikwa katikati yao, na ninadhani hiyo picha yake ina uhusiano mkubwa na picha hizi hapa chini, kwani zimepigwa kutoka kamera moja na angle zinazoshabihiana. Hata mavazi ni yale yale, labda kama mniambie alipotoka hapa alielekea kwenye sherehe...
View attachment 282938
View attachment 282939
Tuache ushabiki, hata kama hatumpendi Dk. Slaa, au katukwaza lakini ukweli lazima tuuseme. Kwa kuangalia tu, utagundua hii picha ni ya Prof. Lipumba na Mwigulu Nchemba. Dk. Slaa amepachikwa katikati yao, na ninadhani hiyo picha yake ina uhusiano mkubwa na picha hizi hapa chini, kwani zinaonekana zimepigwa kutoka kwenye kamera moja na angle zinazoshabihiana. Hata mavazi ni yaleyale... Napata tabu kuamini...
View attachment 282938
View attachment 282939
Bishop Hiluka,
Hii nayo utasema amepachikwa? Mazungumzo yalifanywa kweli. Ingawa sitaki kuweka wazi juu ya ajenda zilizo zungumzwa.
Tazama hii picha.View attachment 282943
Nimekupata na nimerekebisha maelezo yangu hapo juu, ila kinachinishangaza, nimekuta picha nyingi alizopiga sehemu mbalimbali zote akiwa kavalia suti, shati na tai ileile!... Kati ya hizo moja alipokuwa Marekani...ni hizo sahani wamepachika? angalia hapo mezi kila kitu kipo katika utatu, viti tatu, sahani 3, glass za jusi 3, umma na vijiko vitatu viatu . hivyo navyo vimetengenezwa?
kazi kweli kweliEe Cheka Dadaangu Maana Mambo Mengine Yanachekesha