Masaa machache yamebakia ili (UKAWA) Waongee na wanahabari juu ya Tuhuma dhidi yao zilizotolewa na Dr. Slaa.
Updates...
Mbatia anaongea sasa
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja AZAM TZ
AZAM Media Flash Page
Dr. Slaa anaendesha siasa za mitaroni.
Tanzania ni yetu sote na siyo mali ya chama cha mapinduzi
Kamati kuu ya CHADEMA walishamteu Dr. Slaa kuwania uraisi, CUF walimtea Pro. Lipumba kabla ya Lowassa kabla kuhamia CHADEMA
Dr. Slaa alisema yeye alikuwa bora kuliko wagombea wengine hivyo lazima apewe kijiti cha UKAWA
============
Dr Slaa alisema yeye ni bora kuliko wengine na alikuwa anaulilia Urais kwa nguvu kubwa, karibu kikao kivunjike kwa kutokukubaliana. Colisium hotel tulitakiwa tutangaze mgombea urais, Slaa aliomba msinitangaze leo, leo anasema hajawahi kutia nia, anasema siasa ni sayansi. Nilikuwa nimtangaze tarehe 14 wakati huo Lowassa hajaingia CHADEMA. Aliyeenda hadhari kumtaka Lowassa agombanie urais 27/7/2015 alikuwa James Mbatia, aliehariri alikuwa Pro Lipumba na namheshimu kwelikweli mpaka kesho.
Hizi hoja nyepesi za kutaka kulipasua taifa la Tanzania badala ya kuleta umoja wa kitaifa. UKAWA tunasimamia uadilifu, umoja, uwazi, uwajibikaji, tunawataka watanzania wote tuje pamoja, tuwe kitu kimoja. Niwaombe watanzania kwa nia njema, kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake lakini wanansiasa hasa wa CCM, nawakaribisha kwenye midahalo Mzee sitta alijenga ofisi ya spika Urambo, Je kuna ofisi ya spika Urambo, ndio maana nawaambia hakuna atakaepona hapa. Magufuli ni rafiki yange sana tangu chuo kikuu, alichangia harusi lakini leo hii tukimwambia aeleze kashfa ya uuzaji wa nyumba za serikali, atapona?.