maonomakuu
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 2,516
- 1,198
Na zile za kule za machame za kuuza chama ulofa mzuri
Hizo ni zipi?Tuwekee hapa mnufaikaji wa CCM,
Na zile za kule za machame za kuuza chama ulofa mzuri
Your not an IT mzee huwezi jua kitu hiyo picha siyo ya kuunga hata yeye picha zilizovuja za Lowassa alisema Ni kweli zile za kipindi kileee!
Waswahili wanasema, wekeni akiba ya maneno.
Waswahili wanasema, wekeni akiba ya maneno.
Picha hiyo inaonyesha anapokea pesa au amekaa na wanasiasa wenzake? na Kosa lake ni lipi mbowe ana picha ngapi na Rais Kikwete na siyo issue? acha ubabaishaji hiyo picha haina uhusiano na heading yako toka hapa subiri Magufuli akiapishwa ndiyo ujue ufisadi siyo deal maana hapa utaleta picha ya Dr. Slaa akiwa kanisani sijui ina uhusiano gani na siasa au maneno aliyosema jana?
ha ha ha ha ha humu ndani kuna watu wanafurahisha...dah.Ingine hiyo hapo mwambie Mbowe atoe maelezo
![]()
Nimekupata na nimerekebisha maelezo yangu hapo juu, ila kinachinishangaza, nimekuta picha nyingi alizopiga sehemu mbalimbali zote akiwa kavalia suti, shati na tai ileile!... Kati ya hizo moja alipokuwa Marekani...
Wewe dogo wacha kucheza na maisha,wacha dr slaa aumbuke na ataumbuka sana maana kayataka mwenyewe ni afadhali ange amua kukaa kimya na tutaendelea kumuumbua na jamii ya watanzania itamuelewa
Acha matusi kijana sheria mpya inakuhusu
wengi tumesha mpuuza
Press conference, ya Mh. Mbowe na Lowassa kesho saa 5 bahari beach hotel.
Kuna Wakati Mwigulu aliwahi sema "anamchukia Dr Slaa zaidi ya shetani" Sasa ni kitu gani kimewakutanisha!! Jana alisema yeye anaiona siasa kama Sayansi,,Naanza kupata picha kwamba kama kwake siasa sio mchezo mchafu basi itakuwa Sayansi kimu.!
Kamanda naona umepanic ghafla.Matusi ya mamayako?
Ingine hiyo mwambie mbowe atoe maelezo
![]()