miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
ha ha ha nichekeShilingi 50 ya kitanzania.
Serena wana mihogo ya bei ya chini sana tanzania, nashangaa watu mnakula mihogo ya mtaani kipande shilingi 200 wakati serena ni shilingi 50.
Matangazo yote jana yameghaeimu shilingi 2000 ya kitanzania, slaa ni masikini na ana uchungu na hii nchi toka moyoni.
Suti ya jana inaghaeimu 1500 pale kaeume, slaa anamaanisha anachokisema.