boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 5,793
- 4,214
Heri niwe mtumwa ndani ya nchi yangu kuliko kuwa mtumwa kwenye nchi za watu.
na kushindwa kuishi ndani ya jamii uliyokulia ni udhaifu ni kwamba huna uwezo wa kupambana na changamoto zinazokuzunguka ukaona afadhali kuzikimbia.
Utumwa ni Utumwa tu