Dr. Slaa: Sina Mpango wa kugombea Urais 2015

Dr. Slaa: Sina Mpango wa kugombea Urais 2015


Serikali ina viongozi vigeugeu kwa sababu ni wao ndio waliosaini rasimu ya Katiba mpya, lkn cha ajaabu wao ndio wanageuka na kutaka yajadiliwe mambo ambayo hayamo ndani ya rasimu ya Tume ya Jaji Joseph Warioba."

Rasimu ya kwanza na ya pili zikasainiwa kwa mbwembwe kubwa pamoja na kuipa sifa lukuki tume ya Jaji warioba, ghafla bin vuu, maoni ya wanachi wameyageuka, tume wameigeuka - Bunge la katiba limekuwa kikao cha chama cha Mapinduzi - hawa ndio eti wakomavu katika uongozi wa taifa hili kwa nusu karne.
 
Slaa halazimishi uongozi. Slaa analazimishwa na wananchi kugombea. Hata 2010 Slaa alikuwa Karatuuuu anakula kitimoto umati wa watanzania ukaenda kumwomba agombee. Hana presha Slaa. Na ndio tabia ya wenye akili nyingi,tabia za watu wenye upeo mkali sana. Tabia za mwerevu hizo. Slaa hataki madaraka, sisi tunaompenda tunataka atake madaraka

ila analazimisha mshahara wa ubunge wakati sio mbunge
 
Good move dr slaa,na hiyo ndiyo hekima hakuna silaha inayoshinda hekima.
 
Rasimu ya kwanza na ya pili zikasainiwa kwa mbwembwe kubwa pamoja na kuipa sifa lukuki tume ya Jaji warioba, ghafla bin vuu, maoni ya wanachi wameyageuka, tume wameigeuka - Bunge la katiba limekuwa kikao cha chama cha Mapinduzi - hawa ndio eti wakomavu katika uongozi wa taifa hili kwa nusu karne.

pole ndugu pale hakuna maoni wala mawazo ya wananchi bali ni mawazo ya warioba na kikundi chake cha kilaghai.
 
I wish Dr Slaa could play his politics above the fray,Sadly he aligned himself with the losers in the Party, We had so much hopes on him as our next President.
 
pole ndugu pale hakuna maoni wala mawazo ya wananchi bali ni mawazo ya warioba na kikundi chake cha kilaghai.


Kikundi cha Warioba kilichoundwa na mwenyekiti wa chama cha kilaghai.

Warioba ambaye alikuwa waziri mkuu wa chama cha kilaghai

Warioba ambaye ni mwanachama wa chama cha kila.....

Warioba ambaye alikuwa JAJI mkuu kutoka chama cha kila.....

Warioba na blabla bla kila...........

kilaghai

kilaghai
 
Mkuu huyu mzee naona anachekesha sana hivi leo bado anawaza urais kweli lakuvunda halina ubani hivi kweli hajitambui kuwa kachuja kama nguo za rangi.
 
Dr. Slaa ameshajua kuwa UKAWA hawezi kukubalika, pia amegundua kuwa hawana nafasi ya kushinda.
 
Kikundi cha Warioba kilichoundwa na mwenyekiti wa chama cha kilaghai.

Warioba ambaye alikuwa waziri mkuu wa chama cha kilaghai

Warioba ambaye ni mwanachama wa chama cha kila.....

Warioba ambaye alikuwa JAJI mkuu kutoka chama cha kila.....

Warioba na blabla bla kila...........

kilaghai

kilaghai
Mbona kama hueleweki umejaa hasira kulikoni tena tujuze kuliko kujaa upepo tu.
 
waungwana hawakimbilii ikulu ( ikulu ni mzigo ) BALI HUOMBWA .
 
Kauli ya Dr Slaa imejenga mshikamano zaidi ndani ya UKAWA. Hapo ndio utaona Slaa ni kiongozi wa namna gani hapa Tanzania ukimtofautisha na wale walioko katika chama kilichokosa mwelekeo cha CCM. Kumbe zile kauli kuwa Slaa huwezi kumuweka kundi moja na wakuu wa CCM Zina ukweli.
ImageUploadedByJamiiForums1402555782.700140.jpg
Hapa Mwenyekiti wa CCM na rais wa JMT akitumia muda wa ziara yake nje ya nchi kujifunza michezo ya watoto.
ImageUploadedByJamiiForums1402556043.030969.jpg
Hapa napo Katibu mkuu wa CCM afurahishwa na ubunifu wa mtoto katika kuunda gari katika ziara zake.
ImageUploadedByJamiiForums1402556288.904113.jpg
Katibu mkuu wa Chadema akisimdikizwa kwenda kutoa mhadhara katika chuo Kikuu kimoja huko Marekani. Hii ilikuwa katika ziara zake za kujifunza na kufunza wengine kuhusu Africa na utawala.


Kwa picha hizo hapo juu tunapata walao kidogo kuona tofauti ya muono wa viongoI hao.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Hizo ndiyo zake pamoja na kujikopesha pesa za chama na zile za kanisa zinazohusu watoto yatima.

Anajikopeshaje fedha za Chama? Zile Bilioni 200 za Escrow mlijikopesha?
 
Back
Top Bottom